Kuahirisha mechi za Ligi kisa michuano ya Shirikisho ni matumizi mabaya ya muda na kuidhalilisha Ligi yetu

MwananchiOG

JF-Expert Member
Apr 4, 2023
2,239
4,477
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
 
Hizi chuki zinawasaidia nini? Unadhani tumesahau jinsi mechi za Uto zilivyokuwa zinaahirishwa na hakuna aliyekuwa anapiga kelele.

Stellenbosch na Constantine wote wana viporo. Na hatuchezi ligi mpaka tutakapojiskia!
Stellenbosch kabla haijaja Zanzibar ilicheza na Amazulu, Hivyo hivyo kwa timu zingine. Huu uzito wa haya mashindano upo Tanzania pekee.
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
Ukishakuwa Shabiki wa Utopolo Hata Akili zinakuwa Chenga
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
Kwani ni Bodi ya Ligi au Bodi ya Simba?
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
TFF wajinga sana! Timu haichezi ligi mwezi mzima kisa ipo kombe la shirikisho! Siyawah ona huu upuuzi dunian kote zaidi ya ligi ya bongo🙌🤣
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
Waacheni watazikuta cha msingi kila mtu ashinde mechi zake basi.
 
Hizi chuki zinawasaidia nini? Unadhani tumesahau jinsi mechi za Uto zilivyokuwa zinaahirishwa na hakuna aliyekuwa anapiga kelele.

Stellenbosch na Constantine wote wana viporo. Na hatuchezi ligi mpaka tutakapojiskia!
Huna unachokijua
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
kwa sababu mwiko nyuma hako kule
 
Afrika nzima, Hakuna Ligi inayosimamishwa kisa michezo ya shirikisho, Hii ni aibu na kuidhalilisha Ligi yetu kwa kuacha viporo kisa timu inashiriki michezo ya shirikisho! Ukijaribu kufuatilia timu zote zinazoshiriki michuano hiyo imeendelea na Ligi na michezo mbalimbali katika nchi zao.

Huu uzito tunaoupa shindano la shirikisho ni Tanzania pekee, Huko kwingineko yanaonekana ni mashindano ya kawaida tu na hayana hadhi na umuhimu kama Ligi za ndani. Ndiyo maana Leo hii ukiulizwa bingwa wa shirikisho 2019 tu ni ngumu kumkumbuka kwa sababu si mashindano yenye uzito!

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari, Kusimamisha michezo ya Ligi kisa michezo ya shirikisho ni kuishusha hadhi Ligi yetu. Jaribu kufuatilia kama kuna timu yoyote ya shirikisho imeachiwa viporo wa ajili ya mechi za shirikisho! HAKUNA

Huu uzito wa shirikisho upo Tanzania pekee specifically mashabiki wa 5imba pekee, hayana uzito wala hakuna nchi wala wafuatiliaji wengine tofauti na timu husika! Angalia hata taarifa za habari Kenya, hauwezi kukuta wanareport michuano ya shirikisho!
Anatumia kichwa cha chini huyo akitoka kulowekwa pale uwanja wa fisi.
 
Back
Top Bottom