Dawa yake ipo jikoni, baadae atainywa na kupona ugonjwa wake wa kupenda sifaBaada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.
Baada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.
Barbarosa wewe ni muelewa na kama kweli unapenda maendeleo ya jiji letu ambayo yatakuwa kioo cha nchi unaweza kufurahia migogoro na makumbano ya kisiasa vitawale ?Si mlisema kwamba Dar yetu iko chini ya ukawa? Sasa kelele za nini kama Dar yetu iko chini ya ukawa?
Kauli tata kusema hataki porojo?Barbarosa wewe ni muelewa na kama kweli unapenda maendeleo ya jiji letu ambayo yatakuwa kioo cha nchi unaweza kufurahia migogoro na makumbano ya kisiasa vitawale ?
Mbona madiwani wenyewe wa vyama tofauti wameahidi kufanya kazi pamoja kuleta naendeleo kwa nini kauli tata toka kwa RC? Ni utoto wa hali ya juu kuruhusu hilo
Barbarosa wewe ni muelewa na kama kweli unapenda maendeleo ya jiji letu ambayo yatakuwa kioo cha nchi unaweza kufurahia migogoro na makumbano ya kisiasa vitawale ?
Mbona madiwani wenyewe wa vyama tofauti wameahidi kufanya kazi pamoja kuleta naendeleo kwa nini kauli tata toka kwa RC? Ni utoto wa hali ya juu kuruhusu hilo
Tatizo inavyoonekana tutasikia migongano ya kimadaraka kila siku. Ushauri wangu kwa madiwani na wabunge wao waangalie maslahi wa wananchi, wampotezee kama vile hayupo.Ngoja tuone
Mbona nyie Nyumbu mmeanza kulialia? Jiji lipo chini yenu,sasa tatizo nini?Baada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.
Nyie ndio mnampa sifa za kijiunga mpaka anajikuta anafanya mambo ya kurudisha nyuma jiji. Hivi kweli unaweza kuamini mtu anayepigia debe boda boda kurudi kufanya fujo katikati ya jiji ni mzima kichwani? Mwambieni awe anashauriana na wadau wa mkoa kabla hajatoa maamuzi yasio na maana.Si mlisema kwamba Dar yetu iko chini ya ukawa? Sasa kelele za nini kama Dar yetu iko chini ya ukawa?
huyu kapewa U RC sababu ya matusi na kabila lakeBaada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.
Sasa unashangaa nn wakati katumwa na mzee wa mipasho. Hukumbuki kinyerezi kiliongelewa nini?Baada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.
Username yako inajieleza wazi. Muziki wake hatuuwezi tena ni madogoli ya ki paganMbona nyie Nyumbu mmeanza kulialia? Jiji lipo chini yenu,sasa tatizo nini?
Hamna lolote na mmeshagundua kuwa Makonda ni another level na muziki wake hamuuwezi.
Jitu zima ovyo
Kama ulikuwa kichwani mwangu! Asubuhi hii niliandika Mada Kama yako nikapanga niipost mchana kumbe kuna mtu Ana the same idea! Wow great article. Makonda is a great ordeal of our times. Hivi Huyu kijana yukoje?Baada ya kusikia RC wa Dar bw Makonda akianza mipasho yake kwa wawakilishi wa wananchi yaani madiwani na Mameya wao kuwa hatasikiliza porojo zao na kuwa yeye ndie Rais wa mkoa na hakifanyiki kitu bila ridhaa yake, picha ya wazi inejionyesha kuwa Dar habari ya Maendeleo itakuwa nadra kuisikia zaidi ya migogoro. Labda kama Maendeleo yata tasminiwa kwa mikopo ya Pikipiki kwa bodaboda na walimu kusafiri bure kwenye daladala.
Inafahanika wazi kuwa fedha zinakusanywa na halnashauri za jiji na wao ndio wanapanga mipango ya Maendeleo kwa kupitia vikao halali vya madiwani sasa kauli hizi za kebehi na ubabe zinatoka wapi? Na sheria gani inayoweza kumruhusu RC akaagiza halnashauri itumie Pesa kufanya jambo Fulani?
Kauli za kitoto zitaleta migogoro mikubwa. Ni kosa la kiufundi limetokea na dawa yake ajirekebishe na kuwa MTU mzima au aondolewe kama tabia yake haina dawa.
Wana Dar wabataka Maendeleo na sio mipasho.