maatope JF-Expert Member Sep 19, 2013 1,422 957 Jan 11, 2016 #1 hakymungu Mopao ni noooma,sikiliza kuanzia dk ya 4.02...lol...waue baba
maatope JF-Expert Member Sep 19, 2013 1,422 957 Jan 11, 2016 Thread starter #3 patrickcharles said: Weka link tuipakue Mkuu. Click to expand... nimeweka video link hapo juu,kuna solo fulani amazing sana hapo na kile kinanda mwishoni kule ,kitaaaamuuuuu.
patrickcharles said: Weka link tuipakue Mkuu. Click to expand... nimeweka video link hapo juu,kuna solo fulani amazing sana hapo na kile kinanda mwishoni kule ,kitaaaamuuuuu.
dwoxye JF-Expert Member May 2, 2015 679 353 Jan 11, 2016 #4 Aiseee! ni noma kweli mkuu, sipendagi miziki ya aina hii, ila kupitia hii ngoma(original yake) nimeipenda kiukweli..
Aiseee! ni noma kweli mkuu, sipendagi miziki ya aina hii, ila kupitia hii ngoma(original yake) nimeipenda kiukweli..
babukijana JF-Expert Member Jul 21, 2009 14,430 18,297 Jan 11, 2016 #5 kuna jamaa hapo anacheza sana nilidhani Bouro Mpela karudi kundini.sio yeye wamefanana tu
V vyuma JF-Expert Member Apr 11, 2015 908 470 Jan 11, 2016 #6 babukijana said: kuna jamaa hapo anacheza sana nilidhani Bouro Mpela karudi kundini.sio yeye wamefanana tu Click to expand... Borue Mpela yupo kundini mkuu, hata ziara ya mopao Dar alikuwepo.
babukijana said: kuna jamaa hapo anacheza sana nilidhani Bouro Mpela karudi kundini.sio yeye wamefanana tu Click to expand... Borue Mpela yupo kundini mkuu, hata ziara ya mopao Dar alikuwepo.
chilumendo JF-Expert Member Oct 26, 2013 3,075 3,545 Jan 12, 2016 #7 miye inagoma kupakuliwa kupitia tubemate naomba msaada tafadhari wadau
BansenBurner JF-Expert Member Feb 16, 2015 6,810 5,773 Jan 12, 2016 #9 Imetulia ilo wesere la huyo bi dada hapo kati ni sheeda"