Kocha Gamondi atafutiwe kocha msaidizi mzawa

Mtemi Mbojo

JF-Expert Member
Apr 27, 2017
415
774
Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla

Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.

Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka.

Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka

Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina. Tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini

Naomba kuwasilisha
Asanteni
 
20231220_103743.jpeg
 
Hizi timu zetu zaidi ni pesa za Mo na GSM, hawa makocha hawana la maana sana. Mpeleke Gamond Lyamungo ndio utaelewa
Ni kweli MAFANIKIO ya klabu huchangiwa na factors nyingi, lakini nafasi ya kOCHA ina mchango wake mkubwa..naamini mafanikio ya klabu ya Yanga,kocha Gamondi ana mchango mkubwa,ameibadilisha timu kimbinu na hata kifikra( mindset) hasa ya wachezaji wazawa
 
Wazo murua sana hili Mkuu, tena lenye gharama nafuu. Ingawa Yanga ya sasa ni kama Barcelona ya Frank R. Wachezaji wengi Wana vipaji binafsi kiasi cha kutokumsumbua kocha.
 
Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla

Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.

Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka

Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini

Naomba kuwasilisha
Asanteni
 

Attachments

  • Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    15.4 KB · Views: 2
Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla

Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.

Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka

Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini

Naomba kuwasilisha
Asanteni

Matola huyu huyu awe hazina kwa taifa ! Labda kwa ushiriki - na.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom