Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,508
- 3,756
Kocha mpya kwa timu ya Taifa 'Taifa Stars', Emmanuel Amunike ametangaza kikosi cha Wachezaji 25 kwa ajili ya mchezo wa kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Uganda
Majina ya Wachezaji hao yaliyotangazwa leo Agosti 21 ni Aishi Manula, Mohammed Abdilrahman, Beno Kakolanya, Shomari Kapombe, Hassan Kessy na Gadiel Michael
Aidha, wengine ni Abdi Banda, Kelvin Yondani, Aggrey Moris, Andrew Vicent, Himid Mao, Mudathir Yahya, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Saimon Msuva na Shiza Kichuya
Wachezaji wanaokamilisha orodha hiyo ni Rashid Mandawa, Farid Mussa, Hassan Dilunga, Feisal Salum, Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu, John Bocco, Shabani Chilunda na Yahya Zaydi
Taifa Stars inatarajiwa kucheza na Uganda mnamo Septemba 8, 2018
Majina ya Wachezaji hao yaliyotangazwa leo Agosti 21 ni Aishi Manula, Mohammed Abdilrahman, Beno Kakolanya, Shomari Kapombe, Hassan Kessy na Gadiel Michael
Aidha, wengine ni Abdi Banda, Kelvin Yondani, Aggrey Moris, Andrew Vicent, Himid Mao, Mudathir Yahya, Jonas Mkude, Erasto Nyoni, Saimon Msuva na Shiza Kichuya
Wachezaji wanaokamilisha orodha hiyo ni Rashid Mandawa, Farid Mussa, Hassan Dilunga, Feisal Salum, Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu, John Bocco, Shabani Chilunda na Yahya Zaydi
Taifa Stars inatarajiwa kucheza na Uganda mnamo Septemba 8, 2018