DOKEZO Kituo cha Polisi USA River kinabambikia watu kesi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

fisi 2

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
3,279
4,645
Nimeona clip Mkuu wa Mkoa Arusha anasema kuna mwananchi kanunua nyumba kashindwa kukabidhiwa nyumba aliyolipa asilimia 70 na kapewa kesi yaani ujambazi wa kutumia silaha na kituo cha polisi Usa River Arusha.

Nathibitisha baada ya ufuatiliaji wa miezi minne (4 ) Kituo cha Polisi Usa River kinatumika vibaya sana na mbali ya rushwa polisi wa pale ni wezi kabisa. Mahabusu akiingizwa ndani akaacha kitu cha thamani kama simu au hata viatu au sandals akitoka havipo. Ukiuliza sana unatishiwa mpaka na mkuu wa kituo.

Afisa Upepelezi wa Wilaya wilaya na Mkuu wa polisi wilaya wanaruhusu na kushiriki mambo maovu sana.
Maombi: Uchunguzi ufanywe na kituo hiki kisafishwe kwa kuhamisha na hata kuwafukuza kazi wote hawa nchi ina watu zaidi ya milioni 60 iweje wananchi wanyanyaswe na watu wachahe na kuichukia serikali yao??

Kituo cha Polisi na Polisi wenyewe ni MALI YA WANANCHI sio pango la wezi mpaka Mkuu wa Mkoa anatamka hadharani. Safisha vituo vya polisi Arusha.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Nimeona clip Mkuu wa Mkoa Arusha anasema kuna mwananchi kanunua nyumba kashindwa kukabidhiwa nyumba aliyolipa asilimia 70 na kapewa kesi yaani ujambazi wa kutumia silaha na kituo cha polisi Usa River Arusha.

nathibitisha baada ya ufuatiliaji wa miezi minne (4 ) Kituo cha Polisi Usa River kinatumika vibaya sana na mbali ya rushwa polisi wa pale ni wezi kabisa. Mahabusu akiingizwa ndani akaacha kitu cha thamani kama simu au hata viatu au sandals akitoka havipo. Ukiuliza sana unatishiwa mpaka na mkuu wa kituo.

Afisa Upepelezi wa Wilaya wilaya na Mkuu wa polisi wilaya wanaruhusu na kushiriki mambo maovu sana.
Maombi: Uchunguzi ufanywe na kituo hiki kisafishwe kwa kuhamisha na hata kuwafukuza kazi wote hawa nchi ina watu zaidi ya milioni 60 iweje wananchi wanyanyaswe na watu wachahe na kuichukia serikali yao??

Kituo cha Polisi na Polisi wenyewe ni MALI YA WANANCHI sio pango la wezi mpaka Mkuu wa Mkoa anatamka hadharani. Safisha vituo vya polisi Arusha.
🤣🤣🤣 hcho ktuo knapga balaa ukitshiwa leo n unapelekewa Usa, halo mbona utasema yote maana syo kwa kunyooshwa, ila vtuo nyng ya Arusha ukiingia na viatu vkali hauta vikuta sasa mm sna uwakika kama n police wanazchukuwa
 
  • Thanks
Reactions: apk
🤣🤣🤣 hcho ktuo knapga balaa ukitshiwa leo n unapelekewa Usa, halo mbona utasema yote maana syo kwa kunyooshwa, ila vtuo nyng ya Arusha ukiingia na viatu vkali hauta vikuta sasa mm sna uwakika kama n police wanazchukuwa
Sasa mbona wameshindwa kuwanyoosha wadudu wao?
 
Nimeona clip Mkuu wa Mkoa Arusha anasema kuna mwananchi kanunua nyumba kashindwa kukabidhiwa nyumba aliyolipa asilimia 70 na kapewa kesi yaani ujambazi wa kutumia silaha na kituo cha polisi Usa River Arusha.

Nathibitisha baada ya ufuatiliaji wa miezi minne (4 ) Kituo cha Polisi Usa River kinatumika vibaya sana na mbali ya rushwa polisi wa pale ni wezi kabisa. Mahabusu akiingizwa ndani akaacha kitu cha thamani kama simu au hata viatu au sandals akitoka havipo. Ukiuliza sana unatishiwa mpaka na mkuu wa kituo.

Afisa Upepelezi wa Wilaya wilaya na Mkuu wa polisi wilaya wanaruhusu na kushiriki mambo maovu sana.
Maombi: Uchunguzi ufanywe na kituo hiki kisafishwe kwa kuhamisha na hata kuwafukuza kazi wote hawa nchi ina watu zaidi ya milioni 60 iweje wananchi wanyanyaswe na watu wachahe na kuichukia serikali yao??

Kituo cha Polisi na Polisi wenyewe ni MALI YA WANANCHI sio pango la wezi mpaka Mkuu wa Mkoa anatamka hadharani. Safisha vituo vya polisi Arusha.
Kuna watu wana pambana na wapinzani kwa maneno na matendo.
Halafu kila mtu kwa wakati wake anakuja kuteswa na utendaji wa
wale wale anao washabikia na kuwasifia na kuwaimbia.

Na bado!
 
Back
Top Bottom