Seif Mselem
Senior Member
- Oct 16, 2023
- 161
- 526
…Najua hadi hapo Ulipo utakuwa Umesikia, Umejifunza na Kusoma vitu vingi sana kuhusu Biashara.
.
Utakuwa Umesikia kuwa…
.
N.k…
.
ILA…
Nataka nikwambie Kitu hapa Chini
...vyote Ulivyowahi kuvisikia Hapo Juu kwa 80% vyote ni vya…UONGO!
Yeah Ndio ni vya Uongo...(Wala Sijakosea)!
Ndio maana hata...Ukienda kuviweka Hivyo vitu kwenye Vitendo bado Vitabuma Tu!
Kwanini?
Jibu Rahisi ni Kwamba...
Kwasababu Hivyo Vitu SIO Vya Ukweli!
Sasa Mselem... ni Kitu gani Kimoja ambacho ni Sahihi Kuhusu Biashara?..
(Unaweza Kujiuliza)!
…Na hilo swali ndilo Limenifanya Nikuandalie Makala hii ya leo Ambayo…
Ndani yake Naenda kukuwekea UCHI Kitu kimoja wasichotaka Ukijue ukiwa Unaingia kwenye Biashara…
Na…
Ukweli ni kwamba hiki Kitu Hatari unachoenda Kukiona hapa chini Ndani ya Sekunde 30 Zijazo ni…
Kitu ambacho Kiko tofauti sana na Kila kitu ambacho Umekuwa Ukisikia na Kujifunza kuhusu Biashara…
By the way…
Kabla Sijakwambia Hicho Kitu Naomba kwanza Nijitambulishe kwa Mara Ingine tena…
(Maana Nahisi Mmeanza Kunisahau)
Kwa Jina Naitwa… “Seif Mselem”
Ni…
Copywriter, Sales Trainer, High Ticket Closer na Business Consultant
Vile vile ni...
Mshindi wa TUZO ya Mwandishi Bora wa Mwaka wa Chuo Kikuu cha SUA!
Anyway…
Nisikucheleweshe!
Njoo Tuanze kula Nondo Hapa Chini…
Ukweli ni kwamba watu wengi huwa Hawajui wako kwenye Biashara ya nini...
Ninacho Maanisha ni Kwamba…
Ikiwa Uhalisia ni kwamba hao wote Hawako kwenye Hizo Biashara!
Na…
Ukweli ni kwamba hao wote wako kwenye Biashara ya…
“KUUZA Ile Bidhaa/Huduma Wanayotoa”
Yaani…
Mpika Cake yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Cakes!
Fundi Nyumba yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Makazi!
Mwenye Kiwanda cha Alizeti yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Afya Bora!
Kinyozi yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Muonekano Mzuri!
Biashara uliyopo wewe ni Biashara ya Kuuza yale Matokeo ya mwisho yanayofanywa na Bidhaa/Huduma Unayotoa...
Kwahiyo…
Usije ukaingia kwenye Mtengo kama wengine wa Kudhani kwamba uko kwenye Biashara ya kupika Cake na Ukatumia muda wako wote kwenye...
Kupika, Kupika, Kupika…
Badala Yake…
Wewe kama Mjasiriamali makini Inabidi utumie muda wako mwingi kwenye Kitu chenye Faida zaidi kwenye Biashara yako ambacho ni…KUUZA!
Kwahiyo kama Mjasiriamali “Kuuza” Inabidi kiwe ndio Kipaumbele chako cha kwanza!
.
Na…
.
Linapokuja swala la Kuuza Inabidi Ulitimize hilo jukumu Ipasavyo!
.
Kwahiyo ili uweze Kusonga mbele Inabidi utumie 80% ya Muda wako kwenye…KUUZA!
.
Au…
.
Kitalaamu Tunaita…
.
“Revenue-Producing Activities”
.
Yaani… Kazi zinazozalisha Kipato kwenye Biashara yako moja wapo Ikiwemo ni…
.
SELLING!
.
Na…
.
Ukweli ni kwamba…
.
Bila Kuuza huwezi Kuwa na Mzunguko wa Pesa (Cash Flow) na bila Cash Flow biashara yako Itakufa kwa kukosa…PESA!
.
PESA ni kama OXYGEN kwenye Biashara yako!
.
Kwasababu…
.
Bila Pesa huwezi Kujilipa wewe, Huwezi kulipa wafanyakazi wako (Kama Umeajiri) na Huwezi kulipia gharama zingine kama kodi
.
Na…
.
Ukishindwa kufanya Vitu hivyo hapo Juu...Ndio Unakuwa mwisho wa Habari zako Sokoni
.
Vile Vile…
.
Usisahau... Pesa unayopata kwenye Biashara yako SIO Pesa yako ni Pesa ya Biashara yako!
.
Biashara yako Inabidi ikulipe wewe SIO Wewe uilipe Biashara yako!
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya Japo kwa Udogo...
.
Uwe na Usiku Mwema!
.
Gracias...
.
Seif Mselem
.
Utakuwa Umesikia kuwa…
.
Biashara huwa ni kwaajili ya Wachanga na Wakinga Tu…
Kwenye Biashara huwezi Kutoboa bila kuwa na Mtaji Mkubwa…
Kwenye Biashara Lazima utumie Ndumba…
Biashara nyingi Sikuizi ni za MIKOPO…
Biashara Inahitaji Nidhamu…
Kama kwenu SIO wafanyabiashara Huwezi Kutoboa…
Biashara bila Makaratasi Haiendi…
.Biashara Lazima Iwe katikati ya MJI…
N.k…
.
ILA…
Nataka nikwambie Kitu hapa Chini

...vyote Ulivyowahi kuvisikia Hapo Juu kwa 80% vyote ni vya…UONGO!
Yeah Ndio ni vya Uongo...(Wala Sijakosea)!
Ndio maana hata...Ukienda kuviweka Hivyo vitu kwenye Vitendo bado Vitabuma Tu!
Kwanini?
Jibu Rahisi ni Kwamba...
Kwasababu Hivyo Vitu SIO Vya Ukweli!
Sasa Mselem... ni Kitu gani Kimoja ambacho ni Sahihi Kuhusu Biashara?..
(Unaweza Kujiuliza)!
…Na hilo swali ndilo Limenifanya Nikuandalie Makala hii ya leo Ambayo…
Ndani yake Naenda kukuwekea UCHI Kitu kimoja wasichotaka Ukijue ukiwa Unaingia kwenye Biashara…
Na…
Ukweli ni kwamba hiki Kitu Hatari unachoenda Kukiona hapa chini Ndani ya Sekunde 30 Zijazo ni…
Kitu ambacho Kiko tofauti sana na Kila kitu ambacho Umekuwa Ukisikia na Kujifunza kuhusu Biashara…
By the way…
Kabla Sijakwambia Hicho Kitu Naomba kwanza Nijitambulishe kwa Mara Ingine tena…
(Maana Nahisi Mmeanza Kunisahau)

Kwa Jina Naitwa… “Seif Mselem”
Ni…
Copywriter, Sales Trainer, High Ticket Closer na Business Consultant
Vile vile ni...
Mshindi wa TUZO ya Mwandishi Bora wa Mwaka wa Chuo Kikuu cha SUA!
Anyway…
Nisikucheleweshe!
Njoo Tuanze kula Nondo Hapa Chini…
Ukweli ni kwamba watu wengi huwa Hawajui wako kwenye Biashara ya nini...
Ninacho Maanisha ni Kwamba…
Ukienda Kumuuliza Mpika CAKES Atakwambia yuko kwenye Biashara ya…Kupika/Kutengeneza Cake!
Ukimuuliza Fundi Nyumba atakwambia yuko kwenye Biashara ya…Kujenga Nyumba!
Ukimuuliza mwenye Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti atakwambia yuko kwenye Biashara ya…Kukamua Mafuta!
Ukimuuliza Kinyozi atakwambia yuko kwenye Biashara ya…Kukata/Kunyoa Nywele
Ikiwa Uhalisia ni kwamba hao wote Hawako kwenye Hizo Biashara!
Na…
Ukweli ni kwamba hao wote wako kwenye Biashara ya…
“KUUZA Ile Bidhaa/Huduma Wanayotoa”
Yaani…
Mpika Cake yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Cakes!
Fundi Nyumba yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Makazi!
Mwenye Kiwanda cha Alizeti yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Afya Bora!
Kinyozi yuko kwenye Biashara ya…KUUZA Muonekano Mzuri!
Biashara uliyopo wewe ni Biashara ya Kuuza yale Matokeo ya mwisho yanayofanywa na Bidhaa/Huduma Unayotoa...
Kwahiyo…
Usije ukaingia kwenye Mtengo kama wengine wa Kudhani kwamba uko kwenye Biashara ya kupika Cake na Ukatumia muda wako wote kwenye...
Kupika, Kupika, Kupika…
Badala Yake…
Wewe kama Mjasiriamali makini Inabidi utumie muda wako mwingi kwenye Kitu chenye Faida zaidi kwenye Biashara yako ambacho ni…KUUZA!
Kwahiyo kama Mjasiriamali “Kuuza” Inabidi kiwe ndio Kipaumbele chako cha kwanza!
.
Na…
.
Linapokuja swala la Kuuza Inabidi Ulitimize hilo jukumu Ipasavyo!
.
Kwahiyo ili uweze Kusonga mbele Inabidi utumie 80% ya Muda wako kwenye…KUUZA!
.
Au…
.
Kitalaamu Tunaita…
.
“Revenue-Producing Activities”
.
Yaani… Kazi zinazozalisha Kipato kwenye Biashara yako moja wapo Ikiwemo ni…
.
SELLING!
.
Na…
.
Ukweli ni kwamba…
.
Bila Kuuza huwezi Kuwa na Mzunguko wa Pesa (Cash Flow) na bila Cash Flow biashara yako Itakufa kwa kukosa…PESA!
.
PESA ni kama OXYGEN kwenye Biashara yako!
.
Kwasababu…
.
Bila Pesa huwezi Kujilipa wewe, Huwezi kulipa wafanyakazi wako (Kama Umeajiri) na Huwezi kulipia gharama zingine kama kodi
.
Na…
.
Ukishindwa kufanya Vitu hivyo hapo Juu...Ndio Unakuwa mwisho wa Habari zako Sokoni
.
Vile Vile…
.
Usisahau... Pesa unayopata kwenye Biashara yako SIO Pesa yako ni Pesa ya Biashara yako!
.
Biashara yako Inabidi ikulipe wewe SIO Wewe uilipe Biashara yako!
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya Japo kwa Udogo...
.
Uwe na Usiku Mwema!
.
Gracias...

.
Seif Mselem