Kitendo cha TRA Kuchukua Hela za walipa Kodi Benki bila taarifa kikomeshwe mara moja

The Wolf

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
9,412
20,684
TRA, Medium Taxpayers Division, Dar es Salaam ichunguzwe. Sikatai, hata kama mteja wenu ana madeni ya kodi, kuwepo kuna arrangement ambayo itamsaidia aweze kuyalipa bila kuathiri shughuli za uendeshaji wa biashara.

Kitendo cha kuingia moja kwa moja kwenye account ya bank ya mlipa kodi na kuchota hela bila taarifa siyo uungwana, mbaya zaidi ukiwafuata wakupe details kama debit number za tax ulizolipa kwa hiyo wanayoita Agency Notice hawana, unakuta ni hela imekatwa na bado madeni yanaonekana yako pale pale, control number inatengenezwa bila kuwa na debit number wakati ni kodi ambazo zilishakuwa assessed za madeni tayari yana debit number.

Hii ina hatarisha kuja kukombwa pesa tena, kwa sababu deni linakuwa pale pale. Kwa kweli inavunja sana moyo wajasiriamali, yani unaingia kwenye account unakuta milioni 100, unachukua 90 bila maelezo ya kodi hizo, bila kujali biashara ya huyu mlipa kodi ita survive vipi. Waziri aliangalie hili.

TRA Tanzania

Pia soma ~ Mjadala kuhusu Jukwaa la Kodi na Uwekezaji 2024, Ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam, Februari 28, 2024:
 
TRA, Medium Taxpayers Division, Dar es Salaam ichunguzwe. Sikatai, hata kama mteja wenu ana madeni ya kodi, kuwepo kuna arrangement ambayo itamsaidia aweze kuyalipa bila kuathiri shughuli za uendeshaji wa biashara.

Kitendo cha kuingia moja kwa moja kwenye account ya bank ya mlipa kodi na kuchota hela bila taarifa siyo uungwana, mbaya zaidi ukiwafuata wakupe details kama debit number za tax ulizolipa kwa hiyo wanayoita Agency Notice hawana, unakuta ni hela imekatwa na bado madeni yanaonekana yako pale pale, control number inatengenezwa bila kuwa na debit number wakati ni kodi ambazo zilishakuwa assessed za madeni tayari yana debit number.

Hii ina hatarisha kuja kukombwa pesa tena, kwa sababu deni linakuwa pale pale. Kwa kweli inavunja sana moyo wajasiriamali, yani unaingia kwenye account unakuta milioni 100, unachukua 90 bila maelezo ya kodi hizo, bila kujali biashara ya huyu mlipa kodi ita survive vipi. Waziri aliangalie hili.

TRA Tanzania
NI mwenda wazimu tu anaweza kufanya hivi. Mie naona Mwwigulu Nchemba anautaka uraisi ameanza kufanya kampeni ya chini chini dhidi ya Samia kupitia TRA, huku akijidai kumsifia!
 
The wolf

Hili kosa linaanzia kwa TRA au kwa benki husika?

Benki inaruhusu vipi TRA kufanya accesibility ya kuweza kutoa pesa katika akaunti ya mtu bila ya mtu huyo kupewa taarifa na kuridhia?
Mkuu passion_amo1 , Benki wanatakiwa ku comply kile TRA kinawataka kufanya, kuna kitu wanaita Agency Notice, wakipeleka Benki, Benki wanalipa na wenyewe TRA wana access ya kujua kuna kiasi gani. Mbaya zaidi unakuta madeni yenyewe yanahitaji reconciliation.
 
TRA, Medium Taxpayers Division, Dar es Salaam ichunguzwe. Sikatai, hata kama mteja wenu ana madeni ya kodi, kuwepo kuna arrangement ambayo itamsaidia aweze kuyalipa bila kuathiri shughuli za uendeshaji wa biashara.

Kitendo cha kuingia moja kwa moja kwenye account ya bank ya mlipa kodi na kuchota hela bila taarifa siyo uungwana, mbaya zaidi ukiwafuata wakupe details kama debit number za tax ulizolipa kwa hiyo wanayoita Agency Notice hawana, unakuta ni hela imekatwa na bado madeni yanaonekana yako pale pale, control number inatengenezwa bila kuwa na debit number wakati ni kodi ambazo zilishakuwa assessed za madeni tayari yana debit number.

Hii ina hatarisha kuja kukombwa pesa tena, kwa sababu deni linakuwa pale pale. Kwa kweli inavunja sana moyo wajasiriamali, yani unaingia kwenye account unakuta milioni 100, unachukua 90 bila maelezo ya kodi hizo, bila kujali biashara ya huyu mlipa kodi ita survive vipi. Waziri aliangalie hili.

TRA Tanzania
Yaani mtu achukue pesa kwenye akaunti yako bila ridhaa yako na bila amri ya mahakama baada ya hukumu kutoka?! Hii haiwezekani, nenda kaishtaki hiyo bank haraka sana!
 
Yaani mtu achukue pesa kwenye akaunti yako bila ridhaa yako na bila amri ya mahakama baada ya hukumu kutoka?! Hii haiwezekani, nenda kaishtaki hiyo bank haraka sana!
Mkuu, huwezi kuamini ila ndio kitu kinachotokea kwa muda huu, kwa ambao tupo Medium Taxpayers Division, na mimi binafsi kimenikuta. Kuna sheria inawalinda TRA, na wakikosa hela Benki wanawadai watu/kampuni unazofanya nazo kazi, kwamba madeni yako yalipwe moja kwa moja TRA.
 
Mkuu passion_amo1 , Benki wanatakiwa ku comply kile TRA kinawataka kufanya, kuna kitu wanaita Agency Notice, wakipeleka Benki, Benki wanalipa na wenyewe TRA wana access ya kujua kuna kiasi gani. Mbaya zaidi unakuta madeni yenyewe yanahitaji reconciliation.
The wolf
Moja ya terms yq benki nyingi hapa kwetu ni hii

We may be required from time to time to disclose your personal information to Governmental or judicial bodies or agencies or our regulators, but we will only do so under proper authority.

Katika hiyo sheria hapo juu hapana sehemu inasema kwamba taasisi ya kiserikali inaweza kutoa pesa bila idhini ya mhusika. (That’s infringment).

If something you address here is relevant, you should take litigation to sue the bank.

Mimi nashindwa kuelewa hili jambo na hio taasisi ya kibenki kufanya mambo ya hovyo kiasi hichi!.
 
TRA, Medium Taxpayers Division, Dar es Salaam ichunguzwe. Sikatai, hata kama mteja wenu ana madeni ya kodi, kuwepo kuna arrangement ambayo itamsaidia aweze kuyalipa bila kuathiri shughuli za uendeshaji wa biashara.

Kitendo cha kuingia moja kwa moja kwenye account ya bank ya mlipa kodi na kuchota hela bila taarifa siyo uungwana, mbaya zaidi ukiwafuata wakupe details kama debit number za tax ulizolipa kwa hiyo wanayoita Agency Notice hawana, unakuta ni hela imekatwa na bado madeni yanaonekana yako pale pale, control number inatengenezwa bila kuwa na debit number wakati ni kodi ambazo zilishakuwa assessed za madeni tayari yana debit number.

Hii ina hatarisha kuja kukombwa pesa tena, kwa sababu deni linakuwa pale pale. Kwa kweli inavunja sana moyo wajasiriamali, yani unaingia kwenye account unakuta milioni 100, unachukua 90 bila maelezo ya kodi hizo, bila kujali biashara ya huyu mlipa kodi ita survive vipi. Waziri aliangalie hili.

TRA Tanzania

Pia soma ~ Mjadala kuhusu Jukwaa la Kodi na Uwekezaji 2024, Ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam, Februari 28, 2024:
Yaani mtu achukue pesa kwenye akaunti yako bila ridhaa yako na bila amri ya mahakama baada ya hukumu kutoka?! Hii haiwezekani, nenda kaishtaki hiyo bank haraka sana!
Yes,
Kwa mujibu wa Sheria za nchi hii ya Tanzania, Serikali (ikiwamo TRA) Wana mamlaka ya kutoa pesa kutoka kwenye Bank account ya mtu yoyote yule bila taarifa ya awali (notification) kwa mteja husika. Benki zinalazimika kutoa ushirikiano katika suala hili. Sheria zetu siyo nzuri kabisa kwenye suala hili.

Nina Kesi moja ya namna hii inayomhusu jamaa yangu mmoja mfanyabiashara, yeye pesa zake zote zilichukuliwa na kisha akaunti yake ilifungwa enzi zile za Utawala wa Mwendazake bila yeye mwenyewe kupewa taarifa ya awali. Jamaa hadi leo bado ana majanga ya kuwa na tatizo la High Blood pressure na kisukari kilichosababishwa na mshtuko wa TUKIO hilo, licha ya kwamba kiasi fulani Cha pesa zake alirejeshewa baada ya kupeleka vielelezo vingi Sana kwa Benki na TRA.
Lakini huyo jamaa yangu Mimi naona kama aliponzwa na ubishi wake, kwa sababu nakumbuka mwaka 2013 Mimi nilimshauri asiwe anaweka pesa nyingi katika akaunti za Benki kwani Sheria za nchi yetu hii siyo rafiki kabisa kwa mtu kuweka fedha zake zote kwenye Benki. Ni hatari kufanya hivyo, yeye hakunisikiliza na matokeo yake amekutwa na dhahama hiyo.
 
Mkuu, huwezi kuamini ila ndio kitu kinachotokea kwa muda huu, kwa ambao tupo Medium Taxpayers Division, na mimi binafsi kimenikuta. Kuna sheria inawalinda TRA, na wakikosa hela Benki wanawadai watu/kampuni unazofanya nazo kazi, kwamba madeni yako yalipwe moja kwa moja TRA.
Sasa bank si inabidi ipate uhakikisho toka kwa mahakama inayoonyesha TRA walikushtaki na wakashinda? Au kama huna pingamizi basi wakuulize kama umeridhia, kama hujaridhia ni lazina amri ya kukamata mali yako itoke mahakamani, kwa hiyo sheria ya kibabe hivyo kuna mtu ataweka pesa bank kweli?!
 
The wolf
Moja ya terms yq benki nyingi hapa kwetu ni hii

We may be required from time to time to disclose your personal information to Governmental or judicial bodies or agencies or our regulators, but we will only do so under proper authority.

Katika hiyo sheria hapo juu hapana sehemu inasema kwamba taasisi ya kiserikali inaweza kutoa pesa bila idhini ya mhusika. (That’s infringment).

If something you address here is relevant, you should take litigation to sue the bank.

Mimi nashindwa kuelewa hili jambo na hio taasisi ya kibenki kufanya mambo ya hovyo kiasi hichi!.
Hili jambo haliwezekani popote duniani. The most bank wanaweza kufanya ni kurestrict withdrawals zozote hadi suluhu au amri ya mahakama itakapotoka, ila sio kugawa tu pesa za mtu
 
Kwa mujibu wa Sheria za nchi hii ya Tanzania, Serikali (ikiwamo TRA) Wana mamlaka ya kutoa pesa kutoka kwenye Bank account ya mtu yoyote yule bila taarifa ya awali (notification) kwa mteja husika.
John

Naomba kifungu cha sheria ya hapa. Nipo hapa kujifunza.
akaunti yake ilifungwa enzi zile za Utawala wa Mwendazake bila yeye mwenyewe kupewa taarifa ya awali.
john

Nafikiri bado taasisi za kifedha hazina usiri(privacy) wanayoisema na kujigamba nayo. Inawezekana vipi kufungia akaunti ya mtu bila kuwa na vithibitisho kutoka katika taasisi ambazo zinakushutumu kama hizo za kiserikali?

sasa kama hapa jamaa katolewa pesa na TRA lakini hakuna chochote kutoka labda mahakamani kuonyesha kwanini wafanye hayo!

Na Hili ni Tatizo la viongozi wa Taasisi za kibenki kuwa katika mifuko ya serikali na kushindwa kutimiza wajibu wao.
 
John

Naomba kifungu cha sheria ya hapa. Nipo hapa kujifunza.

john

Nafikiri bado taasisi za kifedha hazina usiri(privacy) wanayoisema na kujigamba nayo. Inawezekana vipi kufungia akaunti ya mtu bila kuwa na vithibitisho kutoka katika taasisi ambazo zinakushutumu kama hizo za kiserikali?

sasa kama hapa jamaa katolewa pesa na TRA lakini hakuna chochote kutoka labda mahakamani kuonyesha kwanini wafanye hayo!

Na Hili ni Tatizo la viongozi wa Taasisi za kibenki kuwa katika mifuko ya serikali na kushindwa kutimiza wajibu wao.
Taasisi za kibenki zinalazimishwa na Sheria kutoa ushirikiano kwa Serikali kuhusiana na masuala haya.

Ni KWELI kwamba Hakuna usiri kwenye masuala ya fedha zilizopo kwenye Benki.
Nakumbuka huyo jamaa yangu niliyemtolea mfano hapa juu, alipofuatilia TRA kuhusu suala hili aliambiwa kwamba Hoja ya kuchukua fedha zake zilizopo kwenye akaunti yake ya benki ilianzia/ilitoka kwenye kitengo Cha Serikali kinachoitwa FIU (Financial Intelligence Unit), wao TRA walikuwa watekelezaji tu wa 'amri kutoka juu.'
 
Back
Top Bottom