Kisanga! Mamlaka ya Kodi Ghana yazuia akaunti za Bilionea aliyemlipa Diamond aimbe kwenye Birthday

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,491
7,027
Mamlaka ya Mapato Ghana (GRA) imeanza uchunguzi wa mtindo wa maisha wa bilionea Richard Amarh-Quaye baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya kuzaliwa yenye iliyogharimu dola milioni 2, ikihusisha safari ya ndege binafsi.

Soma: Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana

Kutokana na masuala ya kodi, akaunti zake za benki zinaripotiwa kuzuiwa.

IMG_3699.jpeg
Kwa mujibu wa The High Street Journal, akaunti za benki za Richard Amarh-Quaye, mwanzilishi wa Bills Micro Credit na mmiliki wa biashara nyingine kadhaa, zinaripotiwa kuzuiwa kutokana na wasiwasi kuhusu kutokuwiana kwa taarifa zake za kodi.

photo-output.jpeg

Party hiyo ya kifahari ilihusisha wasanii wakubwa Afrika na Dunia kama Davido, Diamond Platnumz na wengine ambapo imeripotiwa kuwa haya ndio malipo ya Wasanii walioimba kwenye bata hilo la birthday ya Bilionea "Richard Quaye".

Diamond amelipwa $600k sawa na Tsh Bilioni 1.6/, Davido amelipwa $500K sawa na Tsh Bilioni 1.3/=) huku kwenye birthday hiyo hiyo Shatta Wale na Sarkodie ambao ndio waimbaji Mastaa wa Ghana wamelipwa $200K (Tsh Milioni 532+).

Soma: Msanii wa Ghana Shatta Wale agomea show kwa $200,000 baada ya kugundua Diamond kalipwa $600,000 (Tsh Bilioni 1.5) na Davido $500,000 (Tsh Bilioni 1.3)

Tazama Davido klitumbuiza kwenye sherehe ya miaka 40 ya kuzaliwa kwa bilionea Richard Nii Armah Quaye.



Credit: Pulse.com.gh

===

Richard Amarh-Quaye’s $2M birthday bash and luxury jet spark GRA probe as Ghana eyes lifestyle audits to curb unexplained wealth.

According to The High Street Journal, the bank accounts of Richard Amarh-Quaye, founder of Bills Micro Credit and proprietor of numerous other businesses have allegedly been frozen due to concerns surrounding inconsistencies in his tax declarations.

The news website reports sources close to the matter as having revealed that Amarh-Quaye, who is believed to be linked to 29 separate companies, has come under scrutiny for tax filings that do not correspond with the financial obligations he is expected to meet. The freezing of his accounts comes shortly after he held a lavish 40th birthday celebration, which has drawn widespread attention online. Some sources have estimated the event's cost to be as high as $2 million.

Prior to the birthday party, attended by roughly 1,400 guests, Amarh-Quaye recently acquired a custom-branded private jet and a Bugatti Chiron. The announcement stirred debate across both traditional and social media platforms, prompting questions about the legitimacy of his wealth.

In response to the controversy, Bills Micro Credit issued a public statement clarifying its stance:

We categorically affirm that Bills Micro Credit Limited has not funded, sponsored, or facilitated any of his personal events or acquisitions.
This latest development remains a matter of keen public interest.
 
Mamlaka ya Mapato Ghana (GRA) imeanza uchunguzi wa mtindo wa maisha wa bilionea Richard Amarh-Quaye baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya kuzaliwa yenye iliyogharimu dola milioni 2, ikihusisha safari ya ndege binafsi.

Kutokana na masuala ya kodi, akaunti zake za benki zinaripotiwa kuzuiwa.

View attachment 3283088
Kuna mwamba kwenye ule uzi alisema hizi zinafanana na Money Laundering watu wakamwita ana wivu.
 
Mamlaka ya Mapato Ghana (GRA) imeanza uchunguzi wa mtindo wa maisha wa bilionea Richard Amarh-Quaye baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya kuzaliwa yenye iliyogharimu dola milioni 2, ikihusisha safari ya ndege binafsi.

Soma: Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana

Kutokana na masuala ya kodi, akaunti zake za benki zinaripotiwa kuzuiwa.

View attachment 3283088
Kwa mujibu wa The High Street Journal, akaunti za benki za Richard Amarh-Quaye, mwanzilishi wa Bills Micro Credit na mmiliki wa biashara nyingine kadhaa, zinaripotiwa kuzuiwa kutokana na wasiwasi kuhusu kutokuwiana kwa taarifa zake za kodi.

View attachment 3283089

Party hiyo ya kifahari ilihusisha wasanii wakubwa Afrika na Dunia kama Davido, Diamond Platnumz na wengine ambapo imeripotiwa kuwa haya ndio malipo ya Wasanii walioimba kwenye bata hilo la birthday ya Bilionea "Richard Quaye".

View attachment 3283096
Diamond amelipwa $600k sawa na Tsh Bilioni 1.6/, Davido amelipwa $500K sawa na Tsh Bilioni 1.3/=) huku kwenye birthday hiyo hiyo Shatta Wale na Sarkodie ambao ndio waimbaji Mastaa wa Ghana wamelipwa $200K (Tsh Milioni 532+).

Tazama Davido klitumbuiza kwenye sherehe ya miaka 40 ya kuzaliwa kwa bilionea Richard Nii Armah Quaye.

View attachment 3283102


Credit: Pulse.com.gh
===
Richard Amarh-Quaye’s $2M birthday bash and luxury jet spark GRA probe as Ghana eyes lifestyle audits to curb unexplained wealth.

According to The High Street Journal, the bank accounts of Richard Amarh-Quaye, founder of Bills Micro Credit and proprietor of numerous other businesses have allegedly been frozen due to concerns surrounding inconsistencies in his tax declarations.

The news website reports sources close to the matter as having revealed that Amarh-Quaye, who is believed to be linked to 29 separate companies, has come under scrutiny for tax filings that do not correspond with the financial obligations he is expected to meet. The freezing of his accounts comes shortly after he held a lavish 40th birthday celebration, which has drawn widespread attention online. Some sources have estimated the event's cost to be as high as $2 million.

Prior to the birthday party, attended by roughly 1,400 guests, Amarh-Quaye recently acquired a custom-branded private jet and a Bugatti Chiron. The announcement stirred debate across both traditional and social media platforms, prompting questions about the legitimacy of his wealth.

In response to the controversy, Bills Micro Credit issued a public statement clarifying its stance:


This latest development remains a matter of keen public interest.
Bongo tukipata rais wa kweli hawa watu wanaotanua na haijulikani wanafanya kazi gani watalia sana
 
S
Mamlaka ya Mapato Ghana (GRA) imeanza uchunguzi wa mtindo wa maisha wa bilionea Richard Amarh-Quaye baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya kuzaliwa yenye iliyogharimu dola milioni 2, ikihusisha safari ya ndege binafsi.

Soma: Baba Levo adai Diamond amelipwa TSh. 2.7 Bilioni kutumbuiza kwenye birthday ya Bilionea Ghana

Kutokana na masuala ya kodi, akaunti zake za benki zinaripotiwa kuzuiwa.

View attachment 3283088
Kwa mujibu wa The High Street Journal, akaunti za benki za Richard Amarh-Quaye, mwanzilishi wa Bills Micro Credit na mmiliki wa biashara nyingine kadhaa, zinaripotiwa kuzuiwa kutokana na wasiwasi kuhusu kutokuwiana kwa taarifa zake za kodi.

View attachment 3283089

Party hiyo ya kifahari ilihusisha wasanii wakubwa Afrika na Dunia kama Davido, Diamond Platnumz na wengine ambapo imeripotiwa kuwa haya ndio malipo ya Wasanii walioimba kwenye bata hilo la birthday ya Bilionea "Richard Quaye".

View attachment 3283096
Diamond amelipwa $600k sawa na Tsh Bilioni 1.6/, Davido amelipwa $500K sawa na Tsh Bilioni 1.3/=) huku kwenye birthday hiyo hiyo Shatta Wale na Sarkodie ambao ndio waimbaji Mastaa wa Ghana wamelipwa $200K (Tsh Milioni 532+).

Soma: Msanii wa Ghana Shatta Wale agomea show kwa $200,000 baada ya kugundua Diamond kalipwa $600,000 (Tsh Bilioni 1.5) na Davido $500,000 (Tsh Bilioni 1.3)

Tazama Davido klitumbuiza kwenye sherehe ya miaka 40 ya kuzaliwa kwa bilionea Richard Nii Armah Quaye.

View attachment 3283102


Credit: Pulse.com.gh
===
Richard Amarh-Quaye’s $2M birthday bash and luxury jet spark GRA probe as Ghana eyes lifestyle audits to curb unexplained wealth.

According to The High Street Journal, the bank accounts of Richard Amarh-Quaye, founder of Bills Micro Credit and proprietor of numerous other businesses have allegedly been frozen due to concerns surrounding inconsistencies in his tax declarations.

The news website reports sources close to the matter as having revealed that Amarh-Quaye, who is believed to be linked to 29 separate companies, has come under scrutiny for tax filings that do not correspond with the financial obligations he is expected to meet. The freezing of his accounts comes shortly after he held a lavish 40th birthday celebration, which has drawn widespread attention online. Some sources have estimated the event's cost to be as high as $2 million.

Prior to the birthday party, attended by roughly 1,400 guests, Amarh-Quaye recently acquired a custom-branded private jet and a Bugatti Chiron. The announcement stirred debate across both traditional and social media platforms, prompting questions about the legitimacy of his wealth.

In response to the controversy, Bills Micro Credit issued a public statement clarifying its stance:


This latest development remains a matter of keen public interest.
Serikali za africa zina watu wenye wivu wa kijinga sana. Sasa asingefanya hiyo sherehe ingekua poa tu 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom