Kwa anaye tumia hiki king'amuzi tafadhali naomba kujua kama kinafanya kazi vizuri au ni kwangu tu mizinguo! Na kila nikiwapigia huduma kwa wateja simu haipokelewi. Kwa mwenye namba zao tafadhali naomba aweke hapa.
Kwa anaye tumia hiki king'amuzi tafadhali naomba kujua kama kinafanya kazi vizuri au ni kwangu tu mizinguo! Na kila nikiwapigia huduma kwa wateja simu haipokelewi. Kwa mwenye namba zao tafadhali naomba aweke hapa.
Kwa anaye tumia hiki king'amuzi tafadhali naomba kujua kama kinafanya kazi vizuri au ni kwangu tu mizinguo! Na kila nikiwapigia huduma kwa wateja simu haipokelewi. Kwa mwenye namba zao tafadhali naomba aweke hapa.
Kwa anaye tumia hiki king'amuzi tafadhali naomba kujua kama kinafanya kazi vizuri au ni kwangu tu mizinguo! Na kila nikiwapigia huduma kwa wateja simu haipokelewi. Kwa mwenye namba zao tafadhali naomba aweke hapa.
Haya matatizo mengine munajitakiaga wenyyewe. Kabla ya kununua kingamuzi uluza kwanza watu wanaaofahamu habari ya mujini. Hayo ndo mazara ya kukurupuka kisa umesikia wenyewe wanapigia debe!
Haya matatizo mengine munajitakiaga wenyyewe. Kabla ya kununua kingamuzi uluza kwanza watu wanaaofahamu habari ya mujini. Hayo ndo mazara ya kukurupuka kisa umesikia wenyewe wanapigia debe!
Nnacho mwaka Wa NNE sasa yaano dstv wakinizingua tu nahamia ting kiko super sijalipia mwaka Wa tatu sasa lkn local channels zote zipo uki search unapata channels 96. Za movie za uarabuni kibao