Kilichosababisha SIMBA kuingia AFL hiki hapa

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Oct 6, 2023
435
1,093
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
 
Umejitahidi kuchambua lkn bado kuna vitu vya kubadili, Mfano vigezo vya Club Rankings nakubali! Lkn hilo la Vita nakataa, Maana kama ni Vita TP Mazembe wasingeingia hata hao Enyimba pia wasingeingia!! Pamoja na Club Rankings kigezo kingine ni Ukanda ilitakiwa atleast kila Ukanda utoe Timu moja thus why hali ikawa hivyo!!!
 
Bonanza hili Limekosa msisimko kwasababu ya uchache wa timu shiriki lakini pia ratiba imekuwa finyu limekuwa kama shindano la zima moto, kilichowavutia timu nyingi kushiriki ni fedha ya zawadi tofauti na hapo timu nyingi zingelikacha hili shindano.

Hofu yangu huenda fedha mwakani ikawa kiduchu hivyo timu nyingi kutokushiriki
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
Kwa vyovyote vile Simba wamefika hapo kwa vigezo vilivyotakiwa. Kwa hiyo hilo halina mjadala.
 
MBAKA SASA

Fedha za maandalizi AFL BILIONI5.5
Fedha za Robo fainali AFL BILIONI 2.5
5.5+2.5=8

JUMLA KUU BILIONI 8.

SIMBA ANA BILIONI 8 ZA SUPER LEAGUE.
 
Umejitahidi kuchambua lkn bado kuna vitu vya kubadili, Mfano vigezo vya Club Rankings nakubali! Lkn hilo la Vita nakataa, Maana kama ni Vita TP Mazembe wasingeingia hata hao Enyimba pia wasingeingia!! Pamoja na Club Rankings kigezo kingine ni Ukanda ilitakiwa atleast kila Ukanda utoe Timu moja thus why hali ikawa hivyo!!!
Enyimba walichukua nafasi ya Horoya ambaye West Africa ndo club ilinayoongoza wao wakachomoa kucheza ndo enyimba wakachukua badala yao
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
We ndo mjinga maana umekurupuka kama bata anayeharisha hebu tuambie na ENYIMBA FC Yuko nafasi ya ngapi na aliingiaje?
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
Umeeleza vema ila mindondocha ya utopoloni itakuja kwa kasi kutukana
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
Maelezo haya nafikiri ulimsikiliza vizuri sana Michael Hyela Jana naona umepita mulemule kwenye ufafanuzi alioutoa.
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
Wakati mnaendelea kuweweseka, wenzenu tayari wameshaanza kucheza hatua unayofuata ya nusu fainali ya hilo bonanza.
 
Habari zenu,

Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni club bora nieleweke hapo msichanganye bora na ukubwa).

Katika CAF FOOTBALL CLUBS RANKING simba ipo nafasi ya 9.

I. AL AHLY SC(EGYPT)

2. WYDAD AC(MOROCCO)

3. ESPERANCE DE(TUNIS)

4. MAMELOD SUNDOWN FC(S.A)

5. ZAMELEK SC(EGYPT)

6. RAJA CA(MOROCCO)

7. PYRAMIDS FC(EGYPT)

8. CR BELOUIZDAD(ALGERIA)

9. SIMBA SC(TANZANIA).

sasa twende kazi,ukiangalia kwenye list hiyo hapo juu utagundua kuna nchi ina timu 3 na nyingine ina timu 2,ambayo ni
.EGYPT
.MOROCCO

NA A.F.l wanataka timu 1 kwa kila nchi na ukanda kwa akili za kawaida ambazo hazihitaji hata kwenda shule

.EGYPT watakuwa na mwakilishi ambaye anaongoza kwa kila kitu africa AL AHLY SC kigezo kilichotumika kuichikua AL AHLY SC ni ukubwa wa club pia point ambazo zinafanya iwe juu ya ZAMALEK NA PYRAMIDS.

.MOROCCO kwenye CAF club ranking ina timu 2 ambazo zinapoint nyingi,ambazo ni WYDAD na RAJA.
WYDAD inahiacha RAJA mbali sana kwa ukubwa pia kwa point basi wakaichukua WYDAD CLUB.

..Kwa kigezo cha kuchukua timu moja kwa kila nchi na kila ukanda mpaka hapo kuna timu 3 zimeachwa ambazo ni.
-ZAMALEK Kwenye CAf ranking inashika nafasi ya 5.
-RAJA kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 6.
-PYRAMIDS kwenye CAF ranking inashika nafasi ya 7.

Kigezo kingine walichoangalia A.F.L hali ya utulivu kwa kila nchi iliyochaguliwa baada ya kuchungulia ALGERIA wa kaona kuna vita ambaye mwakilishi wake ni CR BELOUIZDAD I nayoshika nafasi ya 8 katika CAF Club ranking.
Note(pia ukanda umechangia,kila ukanda unatakiwa utoe timu moja)

Mpaka hapo kuna timu zimetoka kwa kigezo cha timu moja kwa kila nchi na kigezo kingine vita.
Kwenye list yetu tumebaki na hizi timu.
1.AL AHLY SC(EGYPT)
2.WYDAD AC(MOROCCO)
3.ESPERANCE DE (TUNIS).
4.MAMELOD SUNDOWN (S.A)
9.SIMBA SC(TANZANIA).

KWA kuwa zilhitajika timu 8 kwenye mashindano ya A.F.L basi wakatazama timu nyingine kwenye CAF CLUB RANKING zenye historia kubwa Africa na zilizofanyaga makubwa sana.
Ndio wakazichukua hizi timu.

Wakachukua hizi timu kuangalia ukanda wanakotoka.
10.TP MAZEMBE(CONGO)
13.PETRO DE LUANDA(ANGOLA)
31.ENYIMBA(NIGERIA).

Pia vigezo hivi vimeifanya SIMBA SC KUINGIA A.F.L.
1. CAF CLUB RANKING
2.FUN BASE

angalizo mimi ni mashabiki wa YANGA SC ila sipend watu wanabishana na ukweli kuwa SIMBA Imefanya makubwa kwenye hii miaka 5 na ndicho kilichopelekea SIMBA kuingia A.F.L,tuwape maua yao.

Baada ya YANGA kufika final za confederation imepata point 20 na kuzipiku timu nyingi Africa na kushika nafasi ya 18 Africa.
Mpaka hapo inaonyesha juhudi walizonazo YANGA ni hatari na zinaogopesha.


Mashabiki tuache ubishani wakijinga.
Wewe Ni kielelezo Cha shabiki anaetumia ubongo kufikiri!

Ukiendelea hivi kule Utopoloni ataongezeka mwenye Akili watatu.
 
Back
Top Bottom