Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifia Wakenya

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
19,295
36,107
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo.

Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani.

Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia.

Sisi hapa bado CCM inasema kuwa Katiba haileti Barabara, chakula au ajira. Tumetulia.

Wakaweka mfumo wa kupata majaji na uundaji tume ya uchaguzi tofauti kabisa na wa kwetu sisi. Tukawasifia.

Mahakama yao Kuu ikafuta uchaguzi wa Rais na kuamua uchaguzi urudiwe. Tukawasifia.

Sisi hapa mahakama yetu inatangatanga mwaka wa tatu sasa kuamua tu kama Kina Halima Mde na wenzake wako bungeni kihalali ama la. Fikiria kama mahakama yetu inaweza kufuta uchaguzi wa Rais.

Mara mara Mbili chaguo la Marais waliopo madarakani lilikataliwa na wakenya. Sisi hapa anayekuwa madarakani hatuwezi kumpinga.

Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifu wakenya Kwa maamuzi ya kisiasa.
 
Umwambie akaandamane
FB_IMG_1719322532408.jpg
 
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo.

Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani.

Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia.

Sisi hapa bado CCM inasema kuwa Katiba haileti Barabara, chakula au ajira. Tumetulia.

Wakaweka mfumo wa kupata majaji na uundaji tume ya uchaguzi tofauti kabisa na wa kwetu sisi. Tukawasifia.

Mahakama yao Kuu ikafuta uchaguzi wa Rais na kuamua uchaguzi urudiwe. Tukawasifia.

Sisi hapa mahakama yetu inatangatanga mwaka wa tatu sasa kuamua tu kama Kina Halima Mde na wenzake wako bungeni kihalali ama la. Fikiria kama mahakama yetu inaweza kufuta uchaguzi wa Rais.

Mara mara Mbili chaguo la Marais waliopo madarakani lilikataliwa na wakenya. Sisi hapa anayekuwa madarakani hatuwezi kumpinga.

Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifu wakenya Kwa maamuzi ya kisiasa.
Nani awasifu hayo mazombie? Ni ww mwehu tu?
 
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo.

Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani.

Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia.

Sisi hapa bado CCM inasema kuwa Katiba haileti Barabara, chakula au ajira. Tumetulia.

Wakaweka mfumo wa kupata majaji na uundaji tume ya uchaguzi tofauti kabisa na wa kwetu sisi. Tukawasifia.

Mahakama yao Kuu ikafuta uchaguzi wa Rais na kuamua uchaguzi urudiwe. Tukawasifia.

Sisi hapa mahakama yetu inatangatanga mwaka wa tatu sasa kuamua tu kama Kina Halima Mde na wenzake wako bungeni kihalali ama la. Fikiria kama mahakama yetu inaweza kufuta uchaguzi wa Rais.

Mara mara Mbili chaguo la Marais waliopo madarakani lilikataliwa na wakenya. Sisi hapa anayekuwa madarakani hatuwezi kumpinga.

Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifu wakenya Kwa maamuzi ya kisiasa.
Kwakuwa huna chakupoteza, lazima uwashangilie watu wanaoharibu mstakabari wa amani ya nchi yao.
 
Wamebadili katiba lakini mpaka leo maandamano ya vurugu na kuuana

Wamebadili katiba bado Rais amelalamikiwa kuvunja katiba mara kadhaa.

Wamekiondoa Chama tawala wakaingia wapinzani lakini bado wananchi wanafikia hatua kaundamana na kufanya vurugu

Hapa kuna la kujifunza, suala sio kukiondoa Chama Tawala je hao wanaotaka kuwatoa chama tawala washike Dola wanamikakati na mipango gani? Au ndio yanakuwa yaleyale?
 
Natamani Simba na Yangu zifungwe ndani nje kwa misimu kama mitatu Mtibwa na timu nyingine ndogo zibebe ubingwa wa ligi kuu. Hizi timu zimekuwa moja ya ndumba za kupumbaza watu na kuona mamo mengine si ya msingi.
 
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo.

Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani.

Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia.

Sisi hapa bado CCM inasema kuwa Katiba haileti Barabara, chakula au ajira. Tumetulia.

Wakaweka mfumo wa kupata majaji na uundaji tume ya uchaguzi tofauti kabisa na wa kwetu sisi. Tukawasifia.

Mahakama yao Kuu ikafuta uchaguzi wa Rais na kuamua uchaguzi urudiwe. Tukawasifia.

Sisi hapa mahakama yetu inatangatanga mwaka wa tatu sasa kuamua tu kama Kina Halima Mde na wenzake wako bungeni kihalali ama la. Fikiria kama mahakama yetu inaweza kufuta uchaguzi wa Rais.

Mara mara Mbili chaguo la Marais waliopo madarakani lilikataliwa na wakenya. Sisi hapa anayekuwa madarakani hatuwezi kumpinga.

Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifu wakenya Kwa maamuzi ya kisiasa.
Nyie mbulula wa Chadema ndio kazi yenu hiyo,kazaneni
 
Wamebadili katiba lakini mpaka leo maandamano ya vurugu na kuuana

Wamebadili katiba bado Rais amelalamikiwa kuvunja katiba mara kadhaa.

Wamekiondoa Chama tawala wakaingia wapinzani lakini bado wananchi wanafikia hatua kaundamana na kufanya vurugu

Hapa kuna la kujifunza, suala sio kukiondoa Chama Tawala je hao wanaotaka kuwatoa chama tawala washike Dola wanamikakati na mipango gani? Au ndio yanakuwa yaleyale?

Wewe hakuna unachoelewa. Upeo wako ni finyu kupindukia. Nani alikulisha huo ujinga kuwa maandamano ni vurugu?
 
Aisee huu sio mfano sahihi na hauendani kabsaa na mjadala huu Kwa sasa.

Katiba ndiyo inayowapa wananchi uhuru mpana wa kukubali au kukataa jambo lisilo na maslahi kwao.

Kukiondoa Chama Tawala sio kosa. Hii ni hatua kubwa sana ya uelewa Kwa wananchi. Usifikiri ni rahisi sana kama huna uelewa wa mambo ya kidunia.

Kijana anaona Bora apambane Afe Ili wengine wanufaike. Hii ni spirit Kali unayotokana na msongo wa mawazo wa muda mrefu. Watu wamechoka

Wamebadili katiba lakini mpaka leo maandamano ya vurugu na kuuana

Wamebadili katiba bado Rais amelalamikiwa kuvunja katiba mara kadhaa.

Wamekiondoa Chama tawala wakaingia wapinzani lakini bado wananchi wanafikia hatua kaundamana na kufanya vurugu

Hapa kuna la kujifunza, suala sio kukiondoa Chama Tawala je hao wanaotaka kuwatoa chama tawala washike Dola wanamikakati na mipango gani? Au ndio yanakuwa yaleyale?
 
Wamebadili katiba lakini mpaka leo maandamano ya vurugu na kuuana

Wamebadili katiba bado Rais amelalamikiwa kuvunja katiba mara kadhaa.

Wamekiondoa Chama tawala wakaingia wapinzani lakini bado wananchi wanafikia hatua kaundamana na kufanya vurugu

Hapa kuna la kujifunza, suala sio kukiondoa Chama Tawala je hao wanaotaka kuwatoa chama tawala washike Dola wanamikakati na mipango gani? Au ndio yanakuwa yaleyale?
Tuseme unaishi kwenye nyumba ya nyasi, Kwa ivo utakuwa unatetea kubaki kwenye nyumba ya nyasi kwa kusema kuwa mbona wenye nyumba za tofali na vigae na wao wanakufa!??

Yaani una ugonjwa wa kisukari na bado unabugia sukari Kwa hoja kuwa hata wasio na kisukari nao watakufa!!??

Wa kulaumiwa ni polisi walioua watu na siyo waandamanaji waliokuwa wanaandamana kwa mujibu wa Katiba yao.
 
Back
Top Bottom