KILA KUNDI, TAIFA LINATAKA AMANI NA ISRAEL, (Silaha Zote Zimeshindwa).

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
749
2,532
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea.

Ushindi huu Sisi wengine mapema tuliona. Tulionya pia kwamba hawa maadui watapigwa. Kweli dunia imeshuhudia.

Kulikuwa na makelele kutoka kila upande wa dunia hadi UN. Netanyahu hakusikiliza Yale makelele, aka endelea Kupigana.

Hatimaye dunia imeshuhudia uhodari wa watoto wa YAKOBO.

Hakuna taifa lenye uwezo huo hapa duniani. Ni Israel tu.

Sasa vikundi vyote, yaani Hezbollah, Hamas, Syria na mataifa mengi adui wanaomba Amani na Israel.

Ndugu zangu, neno la Mungu ni kweli, biblia ni kweli, tunayohubiri kuhusu Israel ni kweli. Hatudanganyi.

Kuhusu dhambi, au ushoga wa Israel hata kipindi cha Musa mashoga WALIKUWEPO. Ahadi ya Mungu IPO pamoja na Machukizo wanayofanya. Kristo atawaokoa hapo Mbeleni.

Kupigana na Israel ni Kujaribu kupigana na Mungu. Maadui zote Wameshindwa

Mungu ibariki Israel🇮🇱
 
Labda uongeze sauti ili hata Ritz akusikie

Hata hivyo, Biblia imesema, kusikia watasikia, maana Wana masikio ya kusikia, lakini hawataelewa, maana mioyo yao iko mbali mno na huyo Mungu wa Yakobo aliye hai

Acha waabudu miungu isiyosikia
 
Jibariki wewe na familia yako ndugu.
Bila shaka familia yako inahitaji sana baraka yako..kuliko kuwa na kisebusebu kuwabariki watu ambao hata hawana muda na wewe na wala hawajui kama kuna specie kama wewe.
Au unataka kuwa chawa wa wayahudi ??
 
Jibariki wewe na familia yako ndugu.
Bila shaka familia yako inahitaji sana baraka yako..kuliko kuwa na kisebusebu kuwabariki watu ambao hata hawana muda na wewe na wala hawajui kama kuna specie kama wewe.
Au unataka kuwa chawa wa wayahudi ??
Hata kama hawajui yeye ameongea ukweli uliokuwepo tangu mwanzo na huo ukweli umeonekana sasa huo sio uchawa ni maneno ya mungu na kwenye maandiko yapo
 
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea.

Ushindi huu Sisi wengine mapema tuliona. Tulionya pia kwamba hawa maadui watapigwa. Kweli dunia imeshuhudia.

Kulikuwa na makelele kutoka kila upande wa dunia hadi UN. Netanyahu hakusikiliza Yale makelele, aka endelea Kupigana.

Hatimaye dunia imeshuhudia uhodari wa watoto wa YAKOBO.

Hakuna taifa lenye uwezo huo hapa duniani. Ni Israel tu.

Sasa vikundi vyote, yaani Hezbollah, Hamas, Syria na mataifa mengi adui wanaomba Amani na Israel.

Ndugu zangu, neno la Mungu ni kweli, biblia ni kweli, tunayohubiri kuhusu Israel ni kweli. Hatudanganyi.

Kuhusu dhambi, au ushoga wa Israel hata kipindi cha Musa mashoga WALIKUWEPO. Ahadi ya Mungu IPO pamoja na Machukizo wanayofanya. Kristo atawaokoa hapo Mbeleni.

Kupigana na Israel ni Kujaribu kupigana na Mungu. Maadui zote Wameshindwa

Mungu ibariki Israel🇮🇱
wewe mgonjwa kweli, mbona kashindwa kuokoa mateka mwaka wa pili huu , tena anapigana na wanamgambo tu wala sio jeshi kamili. unavozungumzia ISRAEL unazungumzia Marekani na mashoga zake wa Ulaya na vibaraka wao wengine, Israel yenyewe kama taifa ni mboga tu na wanajeshi wake WENGI ni mabwabwa tu
 
wewe mgonjwa kweli, mbona kashindwa kuokoa mateka mwaka wa pili huu , tena anapigana na wanamgambo tu wala sio jeshi kamili. unavozungumzia ISRAEL unazungumzia Marekani na mashoga zake wa Ulaya na vibaraka wao wengine, Israel yenyewe kama taifa ni mboga tu na wanajeshi wake WENGI ni mabwabwa tu
Iran ilikalishwa na hapo unaowaita mabwabwa Sasa wewe ni nani
 
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea.

Ushindi huu Sisi wengine mapema tuliona. Tulionya pia kwamba hawa maadui watapigwa. Kweli dunia imeshuhudia.

Kulikuwa na makelele kutoka kila upande wa dunia hadi UN. Netanyahu hakusikiliza Yale makelele, aka endelea Kupigana.

Hatimaye dunia imeshuhudia uhodari wa watoto wa YAKOBO.

Hakuna taifa lenye uwezo huo hapa duniani. Ni Israel tu.

Sasa vikundi vyote, yaani Hezbollah, Hamas, Syria na mataifa mengi adui wanaomba Amani na Israel.

Ndugu zangu, neno la Mungu ni kweli, biblia ni kweli, tunayohubiri kuhusu Israel ni kweli. Hatudanganyi.

Kuhusu dhambi, au ushoga wa Israel hata kipindi cha Musa mashoga WALIKUWEPO. Ahadi ya Mungu IPO pamoja na Machukizo wanayofanya. Kristo atawaokoa hapo Mbeleni.

Kupigana na Israel ni Kujaribu kupigana na Mungu. Maadui zote Wameshindwa

Mungu ibariki Israel🇮🇱
Hata kama huwamini Mungu kwenye hili utaamini alicho kisema zaidi ya miaka 1000 kadha Yeye yupo na anaishi na Israel sio watu ni Mungu pamoja na wanadam. Yaani leo Rwanda aipige Afrika nzima mpaka na SA ndio anachokifanya Israel mashariki ya kati. Mrusi Ukrainian inamtoa dam Israel amesha piga Lebanon, Hamas, Yemen, Syria na joka kuu Iran na amesha fikia malengo kwa mwaka mmoja tu... Hata kama huwamini juu ya Mungu hili naomba tuamini
 
Taifa Teule katika Agano Jipya ni Kanisa la Mungu ulimwenguni,(1Petro2:8-10) (ufunuo1:5-6)
Hakikisha uko miongoni mwa Wateule! Uyaonayo hayo,Jitakase ili kumlaki Yesu Kristo mawinguni.
Mungu ni Mungu wa Mataifa yote.
 
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea.

Ushindi huu Sisi wengine mapema tuliona. Tulionya pia kwamba hawa maadui watapigwa. Kweli dunia imeshuhudia.

Kulikuwa na makelele kutoka kila upande wa dunia hadi UN. Netanyahu hakusikiliza Yale makelele, aka endelea Kupigana.

Hatimaye dunia imeshuhudia uhodari wa watoto wa YAKOBO.

Hakuna taifa lenye uwezo huo hapa duniani. Ni Israel tu.

Sasa vikundi vyote, yaani Hezbollah, Hamas, Syria na mataifa mengi adui wanaomba Amani na Israel.

Ndugu zangu, neno la Mungu ni kweli, biblia ni kweli, tunayohubiri kuhusu Israel ni kweli. Hatudanganyi.

Kuhusu dhambi, au ushoga wa Israel hata kipindi cha Musa mashoga WALIKUWEPO. Ahadi ya Mungu IPO pamoja na Machukizo wanayofanya. Kristo atawaokoa hapo Mbeleni.

Kupigana na Israel ni Kujaribu kupigana na Mungu. Maadui zote Wameshindwa

Mungu ibariki Israel🇮🇱
Ila hata hao waliouwawa pande zote za vita ni viumbe wa the same God wanayemwabudu.
... something is not right...
 
wewe mgonjwa kweli, mbona kashindwa kuokoa mateka mwaka wa pili huu , tena anapigana na wanamgambo tu wala sio jeshi kamili. unavozungumzia ISRAEL unazungumzia Marekani na mashoga zake wa Ulaya na vibaraka wao wengine, Israel yenyewe kama taifa ni mboga tu na wanajeshi wake WENGI ni mabwabwa tu
Huo ndio ukweli umempa
 
Back
Top Bottom