Si anasemaga watanzania mniombee na mnamuombea au?Tumeacha kumuita Mwenyezi Mungu. Tunamuita mtu aliyetupa ulaji baba .... hivi Tanzania ni mali ya nani? Isijekuwa watu wanafikiria ni mali yao binafsi
Huyo unayemuita ndo mnafiki kila kitu anasifia njaa inamsbuaCc Faiza Foxy
Huyu ni dada yake kipenzi na JK, anataka aje alete maunafiki yake hapa.Huyo unayemuita ndo mnafiki kila kitu anasifia njaa inamsbua
Chukulia mfano huo wa mwenye duka na mapato yake!!!! Usikariri tu pambana sasa unapambana wakati wateja hawana hela au unaiba?Daaah kikwete hana nafasi kabisaa katika maisha yako kikubwa pigana na changamoto zinazokukabili hawa watu waache tu kama walivyo....umetumia jina baba mara nyingi sana, au wewe ni wa chama kileee pia unaona atawapa shida, sie wengine tushazoea kuhangaika na maisha yetu, wale wanalindana
Akili ndogo utamjua tu! Endelea kubwabwajahivi watanzania mnafahamu maana ya uchochezi??unamshauri JK ili afanyeje?nahisi wewe hujielewi!!!darasa la saba au vyeti bandia!!!jihadhari sana na maneno yako na uandishi wako!!
So unadhani asipopewa uenyeketi hali itabadilika? Yakupasa uwaze mbali ni kweli hali ni mbaya lakini kama tunataka mabadiliko yakutupasa tukubaliane na mambo haya....kuna watu walikuwa wanafaidi alone nw tunapoelekea binafsi naona kuna mwanga tuwe wavumilivuChukulia mfano huo wa mwenye duka na mapato yake!!!! Usikariri tu pambana sasa unapambana wakati wateja hawana hela au unaiba?
mie nakushauri kama huwezi kuendana na kasi ya urais chagua pa kwenda siyo unaroppka tu!!Akili ndogo utamjua tu! Endelea kubwabwaja
Upo sawa kaka gud....wanaolalamika ni wale waliozoea vya bure kutoka kwa wana ccmmie nakushauri kama huwezi kuendana na kasi ya urais chagua pa kwenda siyo unaroppka tu!!