Mimi nina mfano ambao hupo nyumbani kwangu, mke wangu kamaliza form 4 amekuja hapa UK miaka 6 iliyopita ss na mm nina miaka 20 hapa ss na sio nasema kwamba ninaju lugha ya kingereza kwa ufasaha apana, lakini ukimwambia umekosea hapo weeeeeeeeeeeee, hatari kwa hivyo wabongo ndo matatizo yetu. kwa hivyo mbongo unamwacha anachapia hivyo hivyo mradi mnakwenda. ahaaaaa.Duuu kweli
Kama kuna kitu kinachonikera kwenye blogs zetu ambazo huandikwa[kutafsiriwa kwa kiingereza] ni ni oborongaji
Oborongaji
Inaonekana na wewe hujui kiswahili. Mfano tunasema hataki siyo ataki. Na kwa kingereza tuna publish.Hiyo ni kweli mdau na hizi blog sinasomwa na watu wengi tu, lakini mm naona kuna tatizo moja; mtanzania ukimwambia ajui kingereza na yy amesoma form 4 au 6 hata chuo, anakuwa ataki kuwambiwa kitu anaona kama anapondwa au unamponda. Mawazio yako uliyosema ni mazuri sana, kwani unaona watu au wana blog wa nchi nyingi tu wanatafu mtu hili aweze kurekebisha lugha mbali mbali sio lazima kingereza tu, kwa mfano nina mjua mtu ana andika blog ya kifaransa na yy ni anatoka Haiti lakini anaona kwamba hana ufasaa ktk lugha hiyo kwa hivyo anatafuta mtu kuangalia makosa mbali mbali kabla ya kupablish.
Mimi nina mfano ambao hupo nyumbani kwangu, mke wangu kamaliza form 4 amekuja hapa UK miaka 6 iliyopita ss na mm nina miaka 20 hapa ss na sio nasema kwamba ninaju lugha ya kingereza kwa ufasaha apana, lakini ukimwambia umekosea hapo weeeeeeeeeeeee, hatari kwa hivyo wabongo ndo matatizo yetu. kwa hivyo mbongo unamwacha anachapia hivyo hivyo mradi mnakwenda. ahaaaaa.
Acknowledged.Unapaswa wende kwenye hoja na siyo lahaja za kiswahilii