Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,680
4,507
Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Yasin Mohamed Gumsani amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Novemba 4, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa ya kifo chake imetolewa na mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman, imeeleza kuwa Gumsani alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
 
إنا لله وإنا إليه راجعون
Mungu ajalie akutane na mola wake pasina shari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…