Kigali: Serikali ya Rwanda Kuanza Kulipisha Kodi Makanisa "Church Tax" Yasema Makanisa Yamegeuka Kuwa Vikoba vya Kunyonya Watu Maskini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
68,621
77,064
Naunga mkono hoja ya Kageme na Rwanda ya makanisa yote kuanza kutozwa Kodi kulingana na Mapato wanayokusanya.

Kanisa kama RC ukiacha sadaka lakini Lina utitiri wa miradi ya aina mbalimbali ambayo inaingiza mabilioni lakini sijawahi sikia hata siku Moja kwamba wamewapunguzia sadaka au rundo la michango waumini wao ambao 90% ni maskini.

Hawa viongozi wa makanisa wanatumia ujinga wa watu kutoelewa na kuwajaza hofu za kimaandiko ya kifalsafa na saikolojia kuteka ufahamu wao na kuwafanya wawe docile Ili waweze kuwachezea Kwa namna mbalimbali ambayo wanataka ikiwemo kuwatumikisha Kwa kuwatoza Fedha Kwa jina la sadaka.

Viongozi wa dini za kizungu na kiarabu wanaishi maisha ya Kifahari huku wakiwaaminisha waumini wao mambo ambayo hayapo kwamba waishi Kwa mifano ya Yesu na kuhimiza utoaji huku wao wakioshi maisha ya anasa na kula maisha.

Wengine kina Mwamposa na wengineo wanawauzia Hadi bidhaa wanazoita Zina upako eti zitawasaida wapate miujiza ya Mali,magari ,Fedha nk
Screenshot_20241119-042733.jpg


My Take
Tanzania isione aibu kuiga mfano huu mzuri wa Rwanda.Watu wajinga hawawezi kuisha Duniani ila ni wajibu wa Serikali kuwasaidia dhidi ya matapeli Kwa mgongo wa dini.

Dini zote asili yake na muendelezo wake ni utapeli,Sasa Wanasiasa wanashirikiana na hao matapeli kuwafukafisha Wananchi.
 
Naunga mkono hoja ya Kageme na Rwanda ya makanisa yote kuanza kutozwa Kodi kulingana na Mapato wanayokusanya.

Kanisa kama RC ukiacha sadaka lakini Lina utitiri wa miradi ya aina mbalimbali ambayo inaingiza mabilioni lakini sijawahi sikia hata siku Moja kwamba wamewapunguzia sadaka au rundo la michango waumini wao ambao 90% ni maskini.

Hawa viongozi wa makanisa wanatumia ujinga wa watu kutoelewa na kuwajaza hofu za kimaandiko ya kifalsafa na saikolojia kuteka ufahamu wao na kuwafanya wawe docile Ili waweze kuwachezea Kwa namna mbalimbali ambayo wanataka ikiwemo kuwatumikisha Kwa kuwatoza Fedha Kwa jina la sadaka.

Viongozi wa dini za kizungu na kiarabu wanaishi maisha ya Kifahari huku wakiwaaminisha waumini wao mambo ambayo hayapo kwamba waishi Kwa mifano ya Yesu na kuhimiza utoaji huku wao wakioshi maisha ya anasa na kula maisha.

Wengine kina Mwamposa na wengineo wanawauzia Hadi bidhaa wanazoita Zina upako eti zitawasaida wapate miujiza ya Mali,magari ,Fedha nk
View attachment 3155963

My Take
Tanzania isione aibu kuiga mfano huu mzuri wa Rwanda.Watu wajinga hawawezi kuisha Duniani ila ni wajibu wa Serikali kuwasaidia dhidi ya matapeli Kwa mgongo wa dini.

Dini zote asili yake na muendelezo wake ni utapeli,Sasa Wanasiasa wanashirikiana na hao matapeli kuwafukafisha Wananchi.
Kwanini Church Tax na isiwe Religion Tax?
 
Excellent Kagame, masikini wananyonywa sana. Unatishiwa kuwa kama hutoi sadaka padri haji kukuzika siku ya kufa. Kwa wajinga ambao wanaamini kuna moto wa milele inabidi washiriki kila kitu kuanzia jumuiya ndogo. Kuna mwanafalsafa alisema dini ni kwa ajili ya wajinga. Amgalia dini zilivyotapakaa hasa katika ulimwengu wa tatu.
 
Back
Top Bottom