Kibamia ni size kuanzia ipi?

The Genius

JF-Expert Member
May 29, 2018
822
2,098
Wakuu habari za jioni.
Mtaani kuna msemo usemwao 'kibamia'. Mara nyingi huwa najiuliza ili mwanaume uwe na kibamia, urefu wa mtalimbo wako unatakiwa uwe na inchi ngapi?

Na ambao sio kibamia mtalimbo wao unakuwa ni kuanzia inchi ngapi?

Nawasilisha!
 
Ngoja huyu Dc atakusaidia
tapatalk_1556034160715.jpeg
 
Wakuu habari za jioni.
Mtaani kuna msemo usemwao 'kibamia'. Mara nyingi huwa najiuliza ili mwanaume uwe na kibamia, urefu wa mtalimbo wako unatakiwa uwe na inchi ngapi?

Na ambao sio kibamia mtalimbo wao unakuwa ni kuanzia inchi ngapi?

Nawasilisha!
Swali zuri sana kijana.
Naomba nijibu heading ya uzi wako kama ifuatavyo:-
Kikiwa kimoja ni kibamia, na vikiwa vingi ni vibamia. Hivyo basi kwakua kimaumbile ni vidogo kwa kiasi ndio maana binadamu alibadilisha kutoka jina la bamia na kuiita vibamia/kibamia. Na haya yote yametokana na binadamu kubadili mambo mengi kutoka kwenye uhalisi wake ili tu kuitimiza furaha ya nafsi yake.
Kwakifupi bamia/kibamia/vibamia huanzia kuota toka shambani, chini ardhini. Hivyo kwa kipimo cha kawaida, binadamu aliamua kufananisha aina hii ya mboga na mawazo yake potofu ili kumfurahisha shetani.
By the way.....
Hii ni mboga moja mzuri na tamu hasa umifanikiwa kukuta imepikwa kwa umaridadi na mjuvi wa jikoni na vyangu kama R.i.P bibi wangu....
images.jpeg
 
Swali zuri sana kijana.
Naomba nijibu heading ya uzi wako kama ifuatavyo:-
Kikiwa kimoja ni kibamia, na vikiwa vingi ni vibamia. Hivyo basi kwakua kimaumbile ni vidogo kwa kiasi ndio maana binadamu alibadilisha kutoka jina la bamia na kuiita vibamia/kibamia. Na haya yote yametokana na binadamu kubadili mambo mengi kutoka kwenye uhalisi wake ili tu kuitimiza furaha ya nafsi yake.
Kwakifupi bamia/kibamia/vibamia huanzia kuota toka shambani, chini ardhini. Hivyo kwa kipimo cha kawaida, binadamu aliamua kufananisha aina hii ya mboga na mawazo yake potofu ili kumfurahisha shetani.
By the way.....
Hii ni mboga moja mzuri na tamu hasa umifanikiwa kukuta imepikwa kwa umaridadi na mjuvi wa jikoni na vyangu kama R.i.P bibi wangu.... View attachment 1079411
Watoto wadogo kama nyie hamwezi elewa mambo ya wakubwa ndio maana tuna tumia lugha ya picha ili watoto kama ww msielewe
 
Back
Top Bottom