Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,278
4,503
Mama mmoja mkazi wa Kibaha Msangani anaiomba serikali iweze kumsaidia kupata haki ya mtoto wake wa kiume anayesoma darasa la tano baada ya kulawitiwa na rafiki wa baba yake ambaye kwa sasa ameachiwa huru baada ya kutekeleza tukio hilo.

Mama wa mtoto huyo anasema kuwa baada ya kutoa taarifa kituo cha polisi mtoto huyo alipimwa lakini hakuna ushirikiano anaoupata na mpaka leo kesi ya mtoto wake haijapelekwa mahakamani.

Pia soma:
 
Mama mmoja mkazi wa Kibaha Msangani anaiomba serikali iweze kumsaidia kupata haki ya mtoto wake wa kiume anayesoma darasa la tano baada ya kulawitiwa na rafiki wa baba yake ambaye kwa sasa ameachiwa huru baada ya kutekeleza tukio hilo.

Mama wa mtoto huyo anasema kuwa baada ya kutoa taarifa kituo cha polisi mtoto huyo alipimwa lakini hakuna ushirikiano anaoupata na mpaka leo kesi ya mtoto wake haijapelekwa mahakamani.
Kuna laana au dhambi zingine hata shetani ameamua kufumba macho. Hivi hii mikundu imewekewa nini?
 
Mama mmoja mkazi wa Kibaha Msangani anaiomba serikali iweze kumsaidia kupata haki ya mtoto wake wa kiume anayesoma darasa la tano baada ya kulawitiwa na rafiki wa baba yake ambaye kwa sasa ameachiwa huru baada ya kutekeleza tukio hilo.

Mama wa mtoto huyo anasema kuwa baada ya kutoa taarifa kituo cha polisi mtoto huyo alipimwa lakini hakuna ushirikiano anaoupata na mpaka leo kesi ya mtoto wake haijapelekwa mahakamani.

Pia soma:
🥺
 
Mpaka sasa huwa sielewi ni kitu gani kunasababisha mtu afanye jambo hilo. Ni ukichaa, ushirikina ama ni nini?
Kuna matatizo mengi mengine yanatengenezwa na Wanawake wenyewe kwa kuwatumia Watoto ili kubambika Wanaume kesi Wewe Mwanaume kua makini na Wanawake baadhi wapo kimkakati kubambika Wanaume kesi ambazo sio za kweli, kuna kesi moja inaendelea hapo Mbezi haina tofauti na hii Ila kesi yenyewe Jamaa alikua anamtongoza Mwanamke kilazima akasema subiri Wewe lazima nikubambikie kesi ndio Jamaa akategeshewa mtoto kwisha habari yake sasa hivi anasumbuka na kesi ya kumlawiti mtoto, kwa hio baadhi ya kesi zinatengenezwa na baadhi ni kweli maana wapo Wanaume wanapenda ngono na Watoto wana tatizo la kisaikolojia linatambulika km Pedophilia km jinsi wapo Wanaume wanapenda ngono na Wanawake wenye matako makubwa ni tatizo la kisaikolojia tu
 
Kuna matatizo mengi mengine yanatengenezwa na Wanawake wenyewe kwa kuwatumia Watoto ili kubambika Wanaume kesi Wewe Mwanaume kua makini na Wanawake baadhi wapo kimkakati kubambika Wanaume kesi ambazo sio za kweli, kuna kesi moja inaendelea hapo Mbezi haina tofauti na hii Ila kesi yenyewe Jamaa alikua anamtongoza Mwanamke kilazima akasema subiri Wewe lazima nikubambikie kesi ndio Jamaa akategeshewa mtoto kwisha habari yake sasa hivi anasumbuka na kesi ya kumlawiti mtoto, kwa hio baadhi ya kesi zinatengenezwa na baadhi ni kweli maana wapo Wanaume wanapenda ngono na Watoto wana tatizo la kisaikolojia linatambulika km Pedophilia km jinsi wapo Wanaume wanapenda ngono na Wanawake wenye matako makubwa ni tatizo la kisaikolojia tu
Aisee, mambo ni mengi...
 
Niliacha kuangalia Tv na kusikiliza radio kwa sababu ya habari kama hizi. Sasa na huku nako ukiingia habari ndio zilezile.
Why umuumize mtoto asokuwa na hatia wala nguvu za kujitetea? Kuna binaadam hawana hata chembe ya huruma
 
Niliacha kuangalia Tv na kusikiliza radio kwa sababu ya habari kama hizi. Sasa na huku nako ukiingia habari ndio zilezile.
Why umuumize mtoto asokuwa na hatia wala nguvu za kujitetea? Kuna binaadam hawana hata chembe ya huruma
Wakiwaomba muwape hawatoenda kulala kwa Watoto km mkiwapa mengine ni matatizo ya akili ni sawa na wale wanaokula kinyesi Chao wenyewe kuna sehemu nilikutana na mmoja yeye kinyesi cha Ng'ombe ndio msosi wake pendwa sio kurogwa ni tatizo la akili, nimekuambia kisaikolojia zaidi
 
Kuna mafaili mengine yanatakiwa yafanyiwe investigation na results zikitoka mhusika ni kweli ametenda hatuhitaji kufika mahakamani Bali firing squad iingie kazini kumaliza kazi.
 
Utajiri boss watu wamekuwa wanyama sana na kuna matukio mengi tu hayasemwi ya wababa wanatembea na binti zao kwa ajili ya pesa za kishirikina inabaki siri ya famili au mama..!
Ndio maana mm nikishaanza kuona mtu anaenda enda kwa waganga au ana amini amini sijui dawq, nakaa nae kwa code mno.

Maana tayari yuko na mfadhahiko, na lolote atakalo ambiwa atatekeleza
 
Back
Top Bottom