Tetesi: Kesi ya utekaji na mauaji dhidi ya Makonda yanukia

G4N

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
4,253
9,833
Jinai haifi ndugu zangu, hata ikipita karne nzima. Makonda bado anafuatiliwa na jinamizi la kesi za utekaji na mauaji

Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya yaliyofanywa na Makonda wako hatua za mwisho kabisa kufungua mashitaka dhidi ya Makonda.

Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".

My take.
Mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi ktk sheria za kimataifa ana tofauti ndogo sana na gaidi. Tusije kushangaa kuona Makonda akikamatwa na FBI huko Arusha.
 
Porojo

Upo uwezekano mkubwa Marekani haitoweza kutoa Ushahidi huo kwa sababu ya Njia walizotumia kuupata Ushahidi huo. Kama ni kweli Upo?

Na kwa maana hiyo Ushahidi huo Usisimame Mahakamani, popote kule, hata huko Marekani.

Magulification will go on
 
Jinai haifi ndugu zangu, hata ikipita karne nzima. Makonda bado anafuatiliwa na jinamizi la kesi za utekaji na mauaji

Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya yaliyofanywa na Makonda wako hatua za mwisho kabisa kufungua mashitaka dhidi ya Makonda.

Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".

My take.
Mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi ktk sheria za kimataifa ana tofauti ndogo sana na gaidi. Tusije kushangaa kuona Makonda akikamatwa na FBI huko Arusha.
Yoote ulio yaandika yanabebwa na hitimisho kwamba hamja pendezwa na uteuzi wa Makonda kua RC wa Arusha...😊
 
Yoote ulio yaandika yanabebwa na hitimisho kwamba hamja pendezwa na uteuzi wa Makonda kua RC wa Arusha...😊
Si hivyo tu, porojo hizi zinapatikana kwenye posti za Propaganda za Uhasama.

Ndio ni Porojo, kwani hakuna Source za hizi "taarifa za kunukia' na Wala hao Hakuna kitu kama...
" Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya"

Madhila yepi hayo?
 
Probation
iu

Kesi ilikuwa mahakamani.
 
Jinai haifi ndugu zangu, hata ikipita karne nzima. Makonda bado anafuatiliwa na jinamizi la kesi za utekaji na mauaji

Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya yaliyofanywa na Makonda wako hatua za mwisho kabisa kufungua mashitaka dhidi ya Makonda.

Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".

My take.
Mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi ktk sheria za kimataifa ana tofauti ndogo sana na gaidi. Tusije kushangaa kuona Makonda akikamatwa na FBI huko Arusha.
Mmh kwa nchi za africa hilo sahau labda chama tawala kitoke madarakani halafu mambo kama haya ushahidi wake ni mgumu maana waliofanya au waliotoa orders as the time goes wengi wanafariki so hilo jambo sahau, na hata kikiingia chama gani duniani kote haya mambo yapo tu jata huko kwa waliotuletea demokrasia
 
Jinai haifi ndugu zangu, hata ikipita karne nzima. Makonda bado anafuatiliwa na jinamizi la kesi za utekaji na mauaji

Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya yaliyofanywa na Makonda wako hatua za mwisho kabisa kufungua mashitaka dhidi ya Makonda.

Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".

My take.
Mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi ktk sheria za kimataifa ana tofauti ndogo sana na gaidi. Tusije kushangaa kuona Makonda akikamatwa na FBI huko Arusha.
ACHENI UJINGA MAKONDA HANA HATIA YOYOTE YA HAYO MSEMAYO MKAMATENI KWANZA MAKENGEZA KWA MAUAJI PIA
 
Porojo

Upo uwezekano mkubwa Marekani haitoweza kutoa Ushahidi huo kwa sababu ya Njia walizotumia kuupata Ushahidi huo. Kama ni kweli Upo?

Na kwa maana hiyo Ushahidi huo Usisimame Mahakamani, popote kule, hata huko Marekani.

Magulification will go on

ACHENI UJINGA MAKONDA HANA HATIA YOYOTE YA HAYO MSEMAYO MKAMATENI KWANZA MAKENGEZA KWA MAUAJI PIA
Kwanza nani aliomwambia fbi wanadeal na mambo ya territory outside marekani?
 
Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".
Ukute wana taarifa zote muhimu walizopata kwenye mifumo ya mawasiliano
 
Jinai haifi ndugu zangu, hata ikipita karne nzima. Makonda bado anafuatiliwa na jinamizi la kesi za utekaji na mauaji

Ndugu, jamaa, na marafiki wa waathirika pamoja na waathirika wenyewe wa madhila haya yaliyofanywa na Makonda wako hatua za mwisho kabisa kufungua mashitaka dhidi ya Makonda.

Ktk maelezo yao wamesema wamewaelekeza wanasheria wao kukusanya ushahidi wa kutosha ikiwa ni pamoja na kuomba ushahidi kutoka serikali ya Marekani utakaosaidia kumtia hatiani ndugu Makonda.

Itakumbukwa kuwa serikali ya Marekani imempiga marufuku Makonda kukanyaga nchini humo kwa kile ilichokiita " makosa ya kudhulumu haki ya watu kuishi".

My take.
Mtu anayedhulumu haki ya watu kuishi ktk sheria za kimataifa ana tofauti ndogo sana na gaidi. Tusije kushangaa kuona Makonda akikamatwa na FBI huko Arusha.
CCM huwaambii kitu kuhusu huyo ng'ombe.
 
Hao wamarekani walichokerwa kwa Makonda ni ile operation yake ya kukamata mashoga tu,hayo mengine ni hisia zenu tu.

Tena hako kamama (kaimu balozi wa Marekani) kalikuwa kashosti ka akina Maria Sarungi na Fatima Karume ndiyo walikuwa wanakajaza upepo kwa maslahi yao tu.
 
Yule ana tuhuma za kunyima watu haki ya kuishi, wewe ungefurahia kupata mgeni mwenye sifa hiyo nyumbani kwako?
Yoote ulio yaandika yanabebwa na hitimisho kwamba hamja pendezwa na uteuzi wa Makonda kua RC wa Arusha...😊
 
Hao wamarekani walichokerwa kwa Makonda ni ile operation yake ya kukamata mashoga tu,hayo mengine ni hisia zenu tu.

Tena hako kamama (kaimu balozi wa Marekani) kalikuwa kashosti ka akina Maria Sarungi na Fatima Karume ndiyo walikuwa wanakajaza upepo kwa maslahi yao tu.
Angalia ng'ombe ingine. Hivi mna funza kichwani ama? Waliokuwa wanapotea na kuokotwa huwezi ata kujiuliza tu?
 
Marekani hawawezi ku share ushahidi waliokusanya kijasusi. Unaweza kufichua mbinu na watu wanaofanya ujasusi kwa niaba ya USA.
 
Hao wamarekani walichokerwa kwa Makonda ni ile operation yake ya kukamata mashoga tu,hayo mengine ni hisia zenu tu.

Tena hako kamama (kaimu balozi wa Marekani) kalikuwa kashosti ka akina Maria Sarungi na Fatima Karume ndiyo walikuwa wanakajaza upepo kwa maslahi yao tu.
Mashoga!! Thibitisha makonda kuwa siyo shoga na bashake ni GSM bisha!
 
Back
Top Bottom