Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu yasababisha Uhaba wa vyumba Kariakoo, Mahoteli yote yajaa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
129,749
249,620
Nikiwa Chamazi Wafanyabiashara wenzangu kutoka DRC wamenipigia simu wakiomba niwasaidie kupata Hotel ya kujihifadhi, Wamelalamika kwamba Hotel zote za Kariakoo zimejaa, na kwamba kuna Wageni wengi mno bado wanatafuta Hotel.

Imebidi niwatafutie Hotel Magomeni, ndio wanaelekea hivi sasa.

Bali Taarifa zingine zimedokeza kwamba Mfumuko wa Wageni hapo Kariakoo unatokana na watu wengi kutoka mikoani kuja kwa Wingi kwa lengo la kufuatilia Kesi ya Uhaini wa Tundu Lissu ambayo Hukumu yake ni Kunyongwa hadi kufa
 
Nikiwa Chamazi Wafanyabiashara wenzangu kutoka DRC wamenipigia simu wakiomba niwasaidie kupata Hotel ya kujihifadhi, Wamelalamika kwamba Hotel zote za Kariakoo zimejaa, na kwamba kuna Wageni wengi mno bado wanatafuta Hotel.

Imebidi niwatafutie Hotel Magomeni, ndio wanaelekea hivi sasa.

Bali Taarifa zingine zimedokeza kwamba Mfumuko wa Wageni hapo Kariakoo unatokana na watu wengi kutoka mikoani kuja kwa Wingi kwa lengo la kufuatilia Kesi ya Uhaini wa Tundu Lissu ambayo Hukumu yake ni Kunyongwa hadi kufa
kariakoo kuna hotel? inaitwaje?
 
Nikiwa Chamazi Wafanyabiashara wenzangu kutoka DRC wamenipigia simu wakiomba niwasaidie kupata Hotel ya kujihifadhi, Wamelalamika kwamba Hotel zote za Kariakoo zimejaa, na kwamba kuna Wageni wengi mno bado wanatafuta Hotel.

Imebidi niwatafutie Hotel Magomeni, ndio wanaelekea hivi sasa.

Bali Taarifa zingine zimedokeza kwamba Mfumuko wa Wageni hapo Kariakoo unatokana na watu wengi kutoka mikoani kuja kwa Wingi kwa lengo la kufuatilia Kesi ya Uhaini wa Tundu Lissu ambayo Hukumu yake ni Kunyongwa hadi kufa
Ndio upuuzi mliotumwa na kiongozi mkuu wa chama toka nairobi...yale mabasi 100 toka mikoani tarehe 23/9/2024 pia yaliripotiwa kama hivyo hatukuona mtu zaidi ya Mbowe.Mkewe na mwanawe....
 
Wakati mwingine mbwembwe zikizidi unakuwa kama kichaa, Kariakoo hiyohiyo jana amekamatwa Heche watu wanaangalia tu akitetewa na wamama wawili tu. Kariakoo hiyohiyo leo hoteli zote zimejaa waliokuja kwenye kesi ya Lissu. Sisapoti yanayoendelea ila Chadema mna mbwembwe nyingi kinyume na uhalisia.
 
Back
Top Bottom