Kesi ya Mbowe kwa Msigwa. Niko tayari kuwa shahidi wa Msigwa

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
985
2,400
Ninao ushahidi usioacha shaka kutetea kauli ya Mch Peter Msigwa kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatumia chama hicho kama saccos binafsi tena ya familia. Na kwamba anatumia Mbowe Foundation kukwiba fedha za chama hicho (ruzuku).

Hata 2010 katika Uchaguzi mdogo jimbo la Busanda aliwaibia chama cha Conservative cha Ujerumani mamilioni ya fedha kwa madai angenunua pikipiki 34 za kampeni matokeo yake yeye na Slaa wakaiba fedha hizo na kuchonga risiti feki Kariakoo kwenye stationary ya mdogo wangu kuwapelekea wazungu. Kifupi nitasimama na Msigwa mwanzo mwisho. Tukutane High Court.

Soma Pia: Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
 
Tiutaona mbivu na mbichi mahakamani. Hili suala la kuwasemea wengine uongo bora mahakama iamue ili maadili yadumishwe.
 
Ninao ushahidi usioacha shaka kutetea kauli ya Mch Peter Msigwa kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatumia chama hicho kama saccos binafsi tena ya familia. Na kwamba anatumia Mbowe Foundation kukwiba fedha za chama hicho (ruzuku).

Hata 2010 katika Uchaguzi mdogo jimbo la Busanda aliwaibia chama cha Conservative cha Ujerumani mamilioni ya fedha kwa madai angenunua pikipiki 34 za kampeni matokeo yake yeye na Slaa wakaiba fedha hizo na kuchonga risiti feki Kariakoo kwenye stationary ya mdogo wangu kuwapelekea wazungu. Kifupi nitasimama na Msigwa mwanzo mwisho. Tukutane High Court.

Soma Pia: Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
20240906_190156.jpg
 
Ninao ushahidi usioacha shaka kutetea kauli ya Mch Peter Msigwa kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatumia chama hicho kama saccos binafsi tena ya familia. Na kwamba anatumia Mbowe Foundation kukwiba fedha za chama hicho (ruzuku).

Hata 2010 katika Uchaguzi mdogo jimbo la Busanda aliwaibia chama cha Conservative cha Ujerumani mamilioni ya fedha kwa madai angenunua pikipiki 34 za kampeni matokeo yake yeye na Slaa wakaiba fedha hizo na kuchonga risiti feki Kariakoo kwenye stationary ya mdogo wangu kuwapelekea wazungu. Kifupi nitasimama na Msigwa mwanzo mwisho. Tukutane High Court.

Soma Pia: Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Inaonekana una ushahidi mwingi sana
Kwa Nini usiwe pia shahidi wa mpina kwenye kesi ya Abdul, bashe na mwigulu kutuibia watz ikapelelea kilo ya sukari tunanunua kwa tsh 6000
 
Ninao ushahidi usioacha shaka kutetea kauli ya Mch Peter Msigwa kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatumia chama hicho kama saccos binafsi tena ya familia. Na kwamba anatumia Mbowe Foundation kukwiba fedha za chama hicho (ruzuku).

Hata 2010 katika Uchaguzi mdogo jimbo la Busanda aliwaibia chama cha Conservative cha Ujerumani mamilioni ya fedha kwa madai angenunua pikipiki 34 za kampeni matokeo yake yeye na Slaa wakaiba fedha hizo na kuchonga risiti feki Kariakoo kwenye stationary ya mdogo wangu kuwapelekea wazungu. Kifupi nitasimama na Msigwa mwanzo mwisho. Tukutane High Court.

Soma Pia: Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Fake ID? Mbowe aje kwa ndugu yako kufanya ujinga kama huo? Smart as one might be, unakuwa na stationary yako ambayo mauzauza yote unafanya wewe mwenyewe bila kuhusisha mtu! Mjinga wewe
 
Mbowe ameshughulikiwa na Msigwa mpaka akili zimemruka, kakimbilia mahakamani, jukwaani Mbowe hamuwezi Msigwa
 
Desprospero Narudia hakuna kesi tamu kama hii kuwahi kutokea, jamani mwenye inclusion yeyote ihusuyo chadema karibuni sana, twendeni tukauondoe umangi meza ndani ya chadema, muda ni huu na wakati ndo huu, hureeee!
 
We endelea kumtia ndimu mchungaji tapeli na usiache kumsaidia kulipa bilioni 5. Mwenzio leo kaanza kujinyeanyea oooh Mbowe hizi sio ishu za kupelekana mahakamani eti tumalizane kisiasa. Na bado wewe.
 

Attachments

  • 20240815_234513.jpg
    20240815_234513.jpg
    49.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom