Bruno Jewel
New Member
- Sep 28, 2023
- 4
- 2
Nimekata tiketi ya bus ( Classic coach) siku tatu kabla ya safari kutoka Moro kwenda Mbeya. Tiketi inasema safari ni saa 12 asubuhi ila muda wa kuwasiri ni saa 11:30 asubuhi. Nimewasiri saa 11: 30 stendi nimeambiwa nisubiri gari. Cha ajabu nimesubiri mpaka saa 1: 10 asubuhi nakuja kuambiwa et gari ilipita saa 11: 20 kwa hiyo nitapakiwa kwenye gari jingine.
Hivi hakuna njia au sehemu ya kuripoti haya matatizo ya abiria ikiwezekana hawa watu wawe wanachukuliwa hatua za kisheria.
Hivi hakuna njia au sehemu ya kuripoti haya matatizo ya abiria ikiwezekana hawa watu wawe wanachukuliwa hatua za kisheria.