Nini kifanyike ili kipunguze hadha ya usafiri jijini Dar es saalam....??
Maoni yako ni mazuri zaidi tukichangia sote.
unafikiri itawezekana kweli?? Watanzania walivyo wabishiWatu wasiruhusiwe kwenda na magari yao katikati ya jiji, watumie usafiri wa umma(daladala)
Basi maumivu ni halali yaounafikiri itawezekana kweli?? Watanzania walivyo wabishi
Nkanuse vkwapq vya watuWatu wasiruhusiwe kwenda na magari yao katikati ya jiji, watumie usafiri wa umma(daladala)
Hakika pia wapunguze makampuni na ofisi za uma kuuwa sehem moja mjini kila wizara mjini kila shirika mjini kila kitu mjiniwahamishe watu waplani upya ramani ya jiji,waweke barabara za kueleweka na miundo mbinu ya treni iboreshwe na kuongeza route.
Kama wameukiza swali ambalo halikuslhusu unaweza kukaa kimya acha kujionyesha ujinga wako sehem kama hizo pia unaweza enda kule Fb ambako mambo ya maana hakunaTembeen kwa miguu iv nyie watu wa dar huwa haziwatosh vizur et
VumilieniNkanuse vkwapq vya watu
Na mjoto wote huo wann
Wakat nna ndinga yang mwenywe