Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,681
- 3,702
Sakata linaanza na Mwili mmoja wa mwanafunzi aliyekua anasoma Jomo kenyata university of Agriculture and technology (JKUAT) unagunduliwa kwene ambapo eneo la dampo mjini Nairobi.Baada ya kutolewa unagundulika ni wa kijana anaitwa…densel Omondi… raia wanadhan kua aliuawa na vyombo vya usalama kutokana na maandamano ya kupinga Financial bill
Lakini baadae miili mingine 8 inakuja kugunduliwa na yote ni ya wanawake. Pia nayo raia wanaihusianisha na maandamano na wananchi wanafura hasira wakitupia serikali polisi kua ndio inahusika lakini safari hii serikali inataka kujinasua kudhibitisha haihusiki na miili hii, hivo wanatakiwa wafanye haraka kabla hasira za Gen Z hazijapamba moto
Upelelezi wanaingia kazini lakini wanachokipata si kile walichokitegemea.
Wanakuja kugundua wanawake wote hawa walikua wanauliwa na kijana anaitwa COLLINS JUMAIS! KHALUSHA. Alipohojiws alikiri alianza kuwaua baada ya kumuua mke wake kwanza.
Yote haya alitekeleza ndani ya miaka miwili na kukamilisha watu 42.
Swali ni je
Huyu muuaji aliweza vipi kuua watu wote hawa bila kujulikana??
Muuaji anaakili gan ya ziada kuwashinda usalama?
……….
Kama anaweza isingekua haya maandamano basi muuaji angeweza kufikisha idadi kubwa zaidi??
Ni wauaji wangap wa aina hii wanaoua na bado hawashikwi?
MUENDELEZO…..
Muuaji wa Kware, adai alilazimishwa na police kukubali tuhuma za kuwaua wanawake 42.
sorce: NTV Kenya
View: https://youtu.be/D2t3O7B2T5s?si=apOEXOrPH1Bnefqx
Lakini baadae miili mingine 8 inakuja kugunduliwa na yote ni ya wanawake. Pia nayo raia wanaihusianisha na maandamano na wananchi wanafura hasira wakitupia serikali polisi kua ndio inahusika lakini safari hii serikali inataka kujinasua kudhibitisha haihusiki na miili hii, hivo wanatakiwa wafanye haraka kabla hasira za Gen Z hazijapamba moto
Upelelezi wanaingia kazini lakini wanachokipata si kile walichokitegemea.
Wanakuja kugundua wanawake wote hawa walikua wanauliwa na kijana anaitwa COLLINS JUMAIS! KHALUSHA. Alipohojiws alikiri alianza kuwaua baada ya kumuua mke wake kwanza.
Yote haya alitekeleza ndani ya miaka miwili na kukamilisha watu 42.
Swali ni je
Huyu muuaji aliweza vipi kuua watu wote hawa bila kujulikana??
Muuaji anaakili gan ya ziada kuwashinda usalama?
……….
Kama anaweza isingekua haya maandamano basi muuaji angeweza kufikisha idadi kubwa zaidi??
Ni wauaji wangap wa aina hii wanaoua na bado hawashikwi?
MUENDELEZO…..
Muuaji wa Kware, adai alilazimishwa na police kukubali tuhuma za kuwaua wanawake 42.
sorce: NTV Kenya
View: https://youtu.be/D2t3O7B2T5s?si=apOEXOrPH1Bnefqx