Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 612
- 1,428
Wakuu,
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na kauli za viongozi wa dini huko Makanisani, Misikitini na kwenye shughuli nyingine za kidini zimeendelea kuzua mijadala nchini, hasa tunapoelekea katika kipindi cha uchaguzi mkuu 2025.
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na matamko ya viongozi wa dini (kanisani na misikitini na shughuli za kidini kwa ujumla)
2025
Januari
Februari
Ramadhan Iftar
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na kauli za viongozi wa dini huko Makanisani, Misikitini na kwenye shughuli nyingine za kidini zimeendelea kuzua mijadala nchini, hasa tunapoelekea katika kipindi cha uchaguzi mkuu 2025.
Siasa na matamko sehemu za dini pamoja na matamko ya viongozi wa dini (kanisani na misikitini na shughuli za kidini kwa ujumla)
- Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni
- Dk. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dk Charles Kitima
- Je, ni kweli Mungu hana Demokrasia? Mbona alisema "Tufanye mtu kwa mfano wetu
- Askofu Dkt. Benson Bangoza aimiminia sifa na pongezi Serikali ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi ya Maendeleo
- Askofu Musomba: Uchawa ni dhambi ya Jamii, anapokosea aambiwe ukweli sio kumsifia tu
- TEC yashauri Viongozi wa Serikali wasiwe wasimamizi wa Uchaguzi
- TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?
- KKKT nayo yajitosa Bungeni kutoa maoni yake kuhusu Sheria za uchaguzi
- Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa
- PICHA: Paul Makonda akiombewa na Pastor Tony Kapola
- Askofu Shoo: Mungu amepanga Rais Samia kuwa Rais wetu
- Albert Chalamila: Inashangaza muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia
- Ni kituko gani umekiona kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025?
- RC Chalamila akiwa amezama katika maombi kwenye mkesha kwa Mwamposa
- Mwamposa, NSSF na Leopard Tour watoa pikipiki 60 kwa Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi Arusha
2025
Januari
Februari
- Mchungaji Clear Malissa atangaza kufanya maombi Uwanja wa Uhuru kwa vyama vya CHADEMA, CCM na ACT kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Nabii Edmund Mystic: Watanzania epukeni mashinikizo yoyote yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu 2025
- Wasanii wa Injili wakiongozwa na Mwamposa wajipanga kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia!
- Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
- Bashungwa ashiriki dua ya kumuombea Rais Samia
- Viongozi wa dini waja na kalamu ya Samia
- Askofu wa Anglikana aomba viongozi wa dini kuwa na mwakilishi bungeni
- Viongozi wa Dini waomba kwa Rais Samia kuwa na uwakilishi Bungeni kulingana na Madhehebu Yao. Mimi napinga Wazo hilo
- Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti
- Askofu Mameo: Taifa lirudi katika misingi ya Haki, agusia Tume Huru, na 'No Reforms' asema Ikulu imegeuka kuwa sehemu ya lawama
- Askofu Jacob Mameo: Hata baadhi ya wana-CCM wako wanaosema 'no reform, no election', lakini wamejificha hawataki waonekane
- Askofu Shoo: Polisi msitumike na wenye Mamlaka kwa maslahi yao wasioitakia mema nchi yetu
- Askofu Shoo: Wanaosimamia uchaguzi mkuu sikilizeni sauti za wananchi
- Sheikh Mwaipopo amvaa Askofu wa Kanisa Katoliki kisa Tundu Lissu, adai kauli yake ni kutaka kuiingilia Serikali
- Sheikh Mwaipopo: Tundu Lissu kukamatwa hajaonewa na hafai kuwa kiongozi
- Askofu Bagonza awataka Watanzania kuukataa uzushi wa kuimba wimbo wa amani isiyotokana na haki
- Makonda kuzuia viongozi wa dini kuongelea siasa ni kuminya uhuru wa kujielezea wale bado ni Watanzania na wapiga kura
Ramadhan Iftar
- Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu
- Mbunge ashauri Viongozi kutumia Kwaresma na Ramadhan kukutana na makundi mbalimbali na kuyafuturisha
- Kamanda wa Polisi Dar, SACP Jumanne Muliro aandaa Iftar kujenga umoja na mshikamano
- Viongozi wa dini Arusha wamuombea Dua, Mrisho Gambo na Rais Samia
- Kihenzile afuturisha na kufanya Dua ya kumuombea Rais Samia
- Mbeya: Dkt. Tulia Ackson afuturisha Waumini 200 wa dini ya Kiislam
- DAWASA yatoa mkono wa Eid kwa makundi ya Wahitaji Kijitonyama
- Rais Samia atoa mkono wa Eid kwa watoto yatima Kagera
- Rais Samia na Rais Mwinyi wafuturu pamoja Ikulu Tunguu na Viongozi wa Siasa, Serikali na Dini
- RC Katavi afuturisha, awahimiza wananchi kumuombea Rais Samia
- Songwe: DC Mbega afuturisha viongozi na makundi mbalimbali
- DC Kubecha afuturisha na kutoa mkono wa Eid kwenye vituo vya kuelela watoto yatima
- DC Kilakala atoa futari na mkono wa Eid kwa wafungwa Wanawake Morogoro
- Samia Kings (Madee, AY na Chegge) kufuturisha Watoto yatima na wenye Uhitaji maalum Machi 22, 2025
- Picha: Mzee Mpili kwenye iftar na Rais Samia Ikulu
- Rais samia atoa mkono wa heri kwa watoto wenye mahitaji maalum Iringa
- Rais Samia atoa zawadi za Eid kwa wazee na watoto
- Rais Dkt. Mwinyi atoa mkono wa Eid kwa wenye mahitaji maalum Zanzibar
- Rais Samia atoa mkono wa Eid El Fitri Mbeya kwa watoto wenye uhitaji maalum