Kauli ya Wakili wa Dkt. Slaa nje ya Mahakama

Pascal_TZA

Member
Mar 25, 2014
24
72
Baada ya Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuachilia huru Dk. wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.

Wakili wa Dk. Slaa amezungumza kile ambacho kimetokea Mahakamani hapo nakusema hakukua na majadiliano yoyote kati yao na ofisi ya DPP.

“Kesi ilikuwa inakuja kwa ajili ya kutajwa kwa bahati nzuri tulipoingia Mahakamani DPP akatoa taarifa kwamba hana nia ya kuendelea na kesi” Wakili Mwasipu

“Kesi imeondolewa kwa mujibu wa kifungu namba 91(1) cha Mwenendo wa makosa ya jinai kama kilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022 hayo ndio yaliyojili leo” Wakili Mwasipu

 
Baada ya Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuachilia huru Dk. wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.

Wakili wa Dk. Slaa amezungumza kile ambacho kimetokea Mahakamani hapo nakusema hakukua na majadiliano yoyote kati yao na ofisi ya DPP.

“Kesi ilikuwa inakuja kwa ajili ya kutajwa kwa bahati nzuri tulipoingia Mahakamani DPP akatoa taarifa kwamba hana nia ya kuendelea na kesi” Wakili Mwasipu

“Kesi imeondolewa kwa mujibu wa kifungu namba 91(1) cha Mwenendo wa makosa ya jinai kama kilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022 hayo ndio yaliyojili leo” Wakili Mwasipu

View attachment 3251852
Duh!! DPP katika ubora wake
 
Hana kesi ya kujibu.
Shauri limeondolewa mahakamani.
Kwanini walimshitaki?
Ni mzee wetu huyu, kafuata njia zisizofaa.
Amepewa pipi, kataka pippikali
Matokeo ndo hayo.
 
Back
Top Bottom