huna lolote kibogoyo weeekwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.
unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.
wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.
watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.
kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.
nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Hivi wewe mgonjwa huwa unafanyia evaluation post zako kweli?post ina zaidi ya 44 mchangiaji mmoja?kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.
unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.
wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.
watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.
kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.
nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Mkuu mtwara walikuwa nyuma kimaendeleo na baada ya kuikataa ccm sasa wameanza kupata maendeleo kwa speed ya ajabuhahahahahhahahaha......Sehemu zote ambazo zina maendeleo...CCM imekataliwa
Kwa hio CCM relation to maendeleo is Inversely Proportional
Mkuu mtwara walikuwa nyuma kimaendeleo na baada ya kuikataa ccm sasa wameanza kupata maendeleo kwa speed ya ajabu
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.
unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.
wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.
watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.
kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.
nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Afu muda wa kula wanaenda ikulu kula au???kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.
unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.
wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.
watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.
kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.
nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Quote of a day!hahahahahhahahaha......Sehemu zote ambazo zina maendeleo...CCM imekataliwa
Kwa hio CCM relation to maendeleo is Inversely Proportional
Over nakupataQuote of a day!
CCM hapo ndio ilitakiwa kuanzia kujiuliza. Kwa kawaida hakuna binadamu yeyote ambaye hapendi maendeleo yake na jamii inayomzunguka. Kwa maana hiyo anauchukia umasikini.
Kuuchukia umasikini kutakusababishia kuchukia kitu chochote kinachokusababishia huo umasikini, kule waliko na maendeleo na wanataka maendeleo zaidi wanaichukia CCM. Tunapata picha gani? Ni kuwa wamegundua kuwa CCM ndio ugonjwa unaowaletea huo umasikini ns ndio maana wanauchukia.
CCM na umasikini ni sawa na uchafu na Kipindupindu. Chukia CCM utokomeze Umasikini wako.
and those areas are worse hit by ulevi kiasi kwamba watu toka nje ya nchi wanakua imported kufanya majukumu ya ndoa; sote tunafahamu ni kwa namna gani hicho unachokiita maendeleo wewe kinapatikana; na kibaya zaidi vizazi vilivyoleta hayo sasa si nguvu kazi tena; pita mitaani huko uone namna vijana wanavyopoteza muda kwenye vijiwe kwa kupiga soga kwenye miji hiyo hiyo. magufuli kawakamata pazuri lazima mliehahahahahhahahaha......Sehemu zote ambazo zina maendeleo...CCM imekataliwa
Kwa hio CCM relation to maendeleo is Inversely Proportional