Kauli ya Ahmed Ali kusema " Adui namba Moja wa Simba ni Yanga, wa pili ni Singida" yamtia matatani

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
9,877
22,572
Ahmed Ali alitamka kwamba adui wa Simba ni Yanga na wa pili Singida

Kauli hii ni uchonganishi na inazua uhasama usio wa laZima

Yanga na Simba wana upinzani na wala sio uhasama
Upinzani wao ni Wa kimichezo

Ahmed Ali anataka Yanga asiwe na mpinzani wa Simba wakati wako ligi 1 na wanagombea kombe 1
Hapa bila shaka upinzani hauepukiki

Msemaji waliyeajiriwa na taasisi kama Simba kutamka kuwa Yanga ni adui wa Yanga ni kukosa ueledi na ujinga wa kiwango cha juu

Ahmed Ali hawezi kutofautisha upinzani na uadui
Yanga hajawahi kuvamia mechi za Simba kama kurusha mawe au kung'oa vitu

Yanga anachofanya ni kuimarisha timu ya kushindana uwanja

Ahmed Ali ameshindwa kumthibitisha uadui Simba dhidi ya Yanga na Singida

Hizi timu ziangalie kuajiri mazwazwa ambayo yanaweza kuvunja amani ya nchi yetu Kwa kauli za kipumbavu
 
Ila utopolo bwana yani alkamwe kafanya makosa ya kipuuzi ila wakona nawao wafungue case ili wa balance minzadhi
 
Ifikie tu wakati TFF waviondoe hivi vyeo vya wasemaji. Na badala yake masuala ya kitoa matamko yawahusishe viongozi wa mabenchi ya ufundi; na hasa makocha.

Halafu hawa akina Ahmed Ally na Ally Kamwe wawe kazi yao ni kuweka tu taarifa rasmi za timu zao kwenye mitandao huko. Kwa sasa nadhani hawafanyi kazi zao kwa weledi! Isipokuwa vijembe, taarabu na vichambo.
 
Ifikie tu wakati TFF waviondoe hivi vyeo vya wasemaji. Na badala yake masuala ya kitoa matamko yawahusishe viongozi wa mabenchi ya ufundi; na hasa makocha.

Halafu hawa akina Ahmed Ally na Ally Kamwe wawe kazi yao ni kuweka tu taarifa rasmi za timu zao kwenye mitandao huko. Kwa sasa nadhani hawafanyi kazi zao kwa weledi! Isipokuwa vijembe, taarabu na vichambo.
Na mashabiki wetu wanapenda kejeli za ovyo namna hii
 
Wasemaji wa timu za mpira wa miguu Tanzania (hasa simba na yanga), wamepoteza dira ya kazi zao. Badala ya kuzungumzia mambo kuhusu timu zao, wanahangaika na timu pinzani kitu ambacho si sawa.
 
Wasemaji wa timu za mpira wa miguu Tanzania (hasa simba na yanga), wamepoteza dira ya kazi zao. Badala ya kuzungumzia mambo kuhusu timu zao, wanahangaika na timu pinzani kitu ambacho si sawa.
Hakika wamezidi kuropoka
 
Ahmed Ali alitamka kwamba adui wa Simba ni Yanga na wa pili Singida

Kauli hii ni uchonganishi na inazua uhasama usio wa laZima

Yanga na Simba wana upinzani na wala sio uhasama
Upinzani wao ni Wa kimichezo

Ahmed Ali anataka Yanga asiwe na mpinzani wa Simba wakati wako ligi 1 na wanagombea kombe 1
Hapa bila shaka upinzani hauepukiki

Msemaji waliyeajiriwa na taasisi kama Simba kutamka kuwa Yanga ni adui wa Yanga ni kukosa ueledi na ujinga wa kiwango cha juu

Ahmed Ali hawezi kutofautisha upinzani na uadui
Yanga hajawahi kuvamia mechi za Simba kama kurusha mawe au kung'oa vitu

Yanga anachofanya ni kuimarisha timu ya kushindana uwanja

Ahmed Ali ameshindwa kumthibitisha uadui Simba dhidi ya Yanga na Singida

Hizi timu ziangalie kuajiri mazwazwa ambayo yanaweza kuvunja amani ya nchi yetu Kwa kauli za kipumbavu
Huna akili fupi tumekusamehe
 
"Huyo msemaji wa simba ni nadra sana kutaja neno yanga.
Mala nyingi amekuwa akitumia neno nyuma mwiko"

Anyway ni kesi za kitoto hazina ulazima kuziingilia.
 
Hapo viongozi wa TFF wtajilipa posho za vikao? Pumbavu kbisa.

Adui kisheria linatafsiri gani? Mtu anae kuzuia malengo yako ya kutwaa ubingwa kwanini usimwite adui? Mimi ni mwana yanga ila hapa naona kama upumbavu umetamalaki kushtaki kisa mtu kakuita adui.
 
Hapo viongozi wa TFF wtajilipa posho za vikao? Pumbavu kbisa.

Adui kisheria linatafsiri gani? Mtu anae kuzuia malengo yako ya kutwaa ubingwa kwanini usimwite adui? Mimi ni mwana yanga ila hapa naona kama upumbavu umetamalaki kushtaki kisa mtu kakuita adui.
Simba anazuiwa kuchukua ubingwa na,Yanga na Singida tu?
 
Hapo viongozi wa TFF wtajilipa posho za vikao? Pumbavu kbisa.

Adui kisheria linatafsiri gani? Mtu anae kuzuia malengo yako ya kutwaa ubingwa kwanini usimwite adui? Mimi ni mwana yanga ila hapa naona kama upumbavu umetamalaki kushtaki kisa mtu kakuita adui.
Tofautisha adui na mshindani/ mpinzani
 
Back
Top Bottom