Hata wewe unacho kipaji cha kuelewa katuni zake mkuuKipanya ana kipaji cha kipekee kufikisha ujumbe kupitia katuni
Sasa mbona huyu kama mzungu, wapi na wapi na wafrika anaoandika masoud au ameona aweke mzungu asi..........................Kipanya the Great!!
Manaake sisi ni omba omba kwa wa zunguSasa mbona huyu kama mzungu, wapi na wapi na wafrika anaoandika masoud au ameona aweke mzungu asi..........................
hebu weka hata katuni moja inayo sifia utawala from around the world hasa hizi ambazo lengo lake ni kufichua aima fulani ya tatizoMassoud anapoteza sifa ya katunist. Amekuwa ni kama chama cha Upinzani Ona hata anavyoargue issues asubuhi Amekuwa not reasonable. Yuko biased. Hawaulizi maswali magumu. Huwezi mwana akizungumza Upinzani kama mtangazaji. Ila uzuri anajua soko lake mnatakaje
hivi katuni za huyu jamaa zipogi maana gazeti mwisho nilisomaga 2009 na ndo mwisho wa kuonaga katuni zake KINGO by JamesMie anaeniumiza kichwa ni james gayo...mwenye katuni za kingo duhh kuunganisha dots nako ni kazi jamani