Katiba ya Chama Changu Haina Kipengele cha Ukomo wa Kiongozi Mkuu.

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
2,318
8,460
Kabla ya kupigania katiba ya nchi, mimi Bei Elekezi na ndugu yangu Yericko Nyerere tunataka katika za vyamabvyetu vya siasa ziweke kipengele cha ukomo wa kiongozi wajuu ili mawazo mapya yapate nafasi.

Tunapendekeza kiongozi wa juu wa chama chochote cha siasa aongoze kwa miaka 5, akiongoza vyema apewe 5 tena, baada ya hapo apumzike awe mshauri tu.

Tuanze na katiba za vyama vyetu, then katiba ya nchi.

Ni mimi Mrusi wa Buza.
 
Kabla ya kupigania katiba ya nchi, mimi Bei Elekezi na ndugu yangu Yericko Nyerere tunataka katika za vyamabvyetu vya siasa ziweke kipengele cha ukomo wa kiongozi wajuu ili mawazo mapya yapate nafasi.

Tunapendekeza kiongozi wa juu wa chama chochote cha siasa aongoze kwa miaka 5, akiongoza vyema apewe 5 tena, baada ya hapo apumzike awe mshauri tu.

Tuanze na katiba za vyama vyetu, then katiba ya nchi.

Ni mimi Mrusi wa Buza.
Katiba ya Chama chako kinasemaje kuhusu ukomo wa uongozi wa juu?
 
Kabla ya kupigania katiba ya nchi, mimi Bei Elekezi na ndugu yangu Yericko Nyerere tunataka katika za vyamabvyetu vya siasa ziweke kipengele cha ukomo wa kiongozi wajuu ili mawazo mapya yapate nafasi.

Tunapendekeza kiongozi wa juu wa chama chochote cha siasa aongoze kwa miaka 5, akiongoza vyema apewe 5 tena, baada ya hapo apumzike awe mshauri tu.

Tuanze na katiba za vyama vyetu, then katiba ya nchi.

Ni mimi Mrusi wa Buza.
Kuna kengeza na ayatolla
 
Back
Top Bottom