MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Najua hamtaniamini lakini kwa jinsi Mambo yanavyokwenda NAWAAPIA Suala la Kupata KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI litaanza Baada ya UCHAGUZI MKUU 2025 .
Wenye AKILI KUBWA tulilijua Mapema kutokana na Danadana za Viongozi ikiwa ni pamoja na kutaka Mchakato uanze UPYA wakati Tayari TUME ya JAJI WARIOBA ilishafanya KAZI KUBWA ya Kukusanya MAONI na MAPENDEKEZO ya MAMILIONI ya WANANCHI na pia FEDHA nyingi ilikwisha Tumika na kuliwa na WAJUMBE wa Bunge la Katiba bila kutupatia KATIBA MPYA.
Najiuliza kwanini SERIKALI haitaki kuendelea lilipoishia BUNGE la KATIBA?
Najiuliza kwanini SERIKALI inataka kuanza UPYA?
Jibu ni KUCHELEWESHA UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI na Dalili zake zinaonekana.
WATAWALA walianza kuunda VIKOSI KAZI na kutoa Mapendekezo ambayo mpaka leo SIJUI YAMEFIKIA WAPI.
Mara tukasikia Waziri Wa Sheria anatangaza kuanza MCHAKATO wa KATIBA MPYA nao umekuwa KIMYA huku Muda unakimbia.
Suala la kuendelea KUTEUA Wajumbe Mbalimbali wa TUME ya Uchaguzi wakati Hata maandalizi ya Kuunda UPYA TUME HURU ya UCHAGUZI ni Ushahidi tosha kuwa Watawala bado wanataka TUME iliyopo iendelee kufanya kazi na Madhara yake wote tunajua ikiwemo ya WABUNGE FAKE 19 ,UCHAGUZI wa SERIKALI za MITAA 2019 na UCHAGUZI MKUU 2020 Yaliyotokea Yatatokea tena 2025.
Mnazidi kuwakumbusha WATANZANIA Utawala uliokataa KATIBA MPYA 2015 ndio huu huu ULIOPO na MSITARAJIE KATIBA MPYA Au TUME HURU ya UCHAGUZI kabla ya 2025 vyote mtavipata Baada ya Watawala kuwa MADARAKANI 2025.
Mtasubiri SANA.
Wenye AKILI KUBWA tulilijua Mapema kutokana na Danadana za Viongozi ikiwa ni pamoja na kutaka Mchakato uanze UPYA wakati Tayari TUME ya JAJI WARIOBA ilishafanya KAZI KUBWA ya Kukusanya MAONI na MAPENDEKEZO ya MAMILIONI ya WANANCHI na pia FEDHA nyingi ilikwisha Tumika na kuliwa na WAJUMBE wa Bunge la Katiba bila kutupatia KATIBA MPYA.
Najiuliza kwanini SERIKALI haitaki kuendelea lilipoishia BUNGE la KATIBA?
Najiuliza kwanini SERIKALI inataka kuanza UPYA?
Jibu ni KUCHELEWESHA UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA na TUME HURU ya UCHAGUZI na Dalili zake zinaonekana.
WATAWALA walianza kuunda VIKOSI KAZI na kutoa Mapendekezo ambayo mpaka leo SIJUI YAMEFIKIA WAPI.
Mara tukasikia Waziri Wa Sheria anatangaza kuanza MCHAKATO wa KATIBA MPYA nao umekuwa KIMYA huku Muda unakimbia.
Suala la kuendelea KUTEUA Wajumbe Mbalimbali wa TUME ya Uchaguzi wakati Hata maandalizi ya Kuunda UPYA TUME HURU ya UCHAGUZI ni Ushahidi tosha kuwa Watawala bado wanataka TUME iliyopo iendelee kufanya kazi na Madhara yake wote tunajua ikiwemo ya WABUNGE FAKE 19 ,UCHAGUZI wa SERIKALI za MITAA 2019 na UCHAGUZI MKUU 2020 Yaliyotokea Yatatokea tena 2025.
Mnazidi kuwakumbusha WATANZANIA Utawala uliokataa KATIBA MPYA 2015 ndio huu huu ULIOPO na MSITARAJIE KATIBA MPYA Au TUME HURU ya UCHAGUZI kabla ya 2025 vyote mtavipata Baada ya Watawala kuwa MADARAKANI 2025.
Mtasubiri SANA.