ContinousImprovement
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 290
- 268
Kuoa sio heshima?Jenga wewe. Nyumba heshima.
Kama mchumba ana sehemu ya kuingiza kipato, anza ndoaWanabodi habari za Muda huu.
Naomba kwa wale wenye uzoefu na walionitangulia ktk haya mambo naomba tufahamishane ni kipi muhimu kuanza nacho kati ya Ndoa au Ujenzi wa Nyumba?
Tushauriane tafadhali...
Asante sana Mkuu. Umenena vyemaApataye mke (Mke sahihi) apata kitu chema, nae ajipatia kibali mbele ya Bwana.
Kuna watu wanamaghorofa wanatamani wayakimbie kwa kukosea kuoa mtu sahihi.
Kama umejiridhisha OA nyumba utajenga nyingi tu kama uko na mtu sahihi. Kama bado unamashaka bado endelea na ujenzi
Nifanye nini hata ikienda kombo nisiyumbe nayo?kama kipato kinaruhusu jenga ila kama ndio ujinyime mambo mengi ya msingi ili ujenge peke yako then uoe uwe makini tu usije juta baadae ndoa ikienda kombo.
Hii sio mchezo lakini nipo tayari kujaribuAnza na vyote huwa havigombani.
Ndoa pasua kichwa.Kama mchumba ana sehemu ya kuingiza kipato, anza ndoa
Mkuu, Nenda sambamba... usianze na jengo!! gawa na ubalance bajeti yako!!Wanabodi habari za Muda huu.
Naomba kwa wale wenye uzoefu na walionitangulia ktk haya mambo naomba tufahamishane ni kipi muhimu kuanza nacho kati ya Ndoa au Ujenzi wa Nyumba?
Tushauriane tafadhali...
Nani kakwambia? Kipi kati ya Ndoa(Mke) na Nyumba unaweza kutoa talaka na kuachana nacho?. Anza na kile ambacho huwezi kukitolea taraka kwanza. NYUMBA NDO KILA KITU.Kuoa kwanza ndio upate mwongozo sahihi,nyumba kujenga ni rahisi ila kupata mke mwema ni bahati
Kuna nyumba zkupanga co kwamba ukioa hujjenga utampeleka mkeo kwenunakumbuka mzee wangu aliniambia unataka kuoa then uje umlaze wapi unataka mimi na mke wako tupishane na mataulo kwenye corridor naenda bafuni? jiulize kwa nini watu wa kaskazini wanaenda kujenga kwanza home then hapa mjini