Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,444
- 40,538
Kwenye nini😃😀😀😄We upo pot number ngapi?
Mi hata naelewa bas nikajua labda pot no 1 ni cheo alichonacho rais wa Simba na Mwenyekiti wa vilabu Africa ni cheo alichonacho rais wa Yanga Kwa hiyo tufanye comparison kipi ni boraKwenye nini😃😀😀😄
Hizo habari za Pot 1 wamejifanya kama hawajazisikia vileee.Kama sielewi hivi watu wa Mpira wanapoona Simba kuwa Pot 1 ni jambo dogo kuliko Rais wa Yanga Hersi Saidi kuwa Mwenyekiti wa vilabu Afrika.
Hivi kati ya hayo mambo mawili ni lipi watanzania wanatakiwa kujivuna nalo???
Yes. Yaani anaomba apige picha.Mimi ni Yanga ila huyu raisi wetu hua anaomba picha na watu maarufu anapiga ila picha akiwa kwenye mazungumzo nao hua hatuoni binafsi sifa za hivi sipend
Aaah!....sio kweli ulichoandika.Hersi tena,unamzungumzie huyu jamaa anayoendaga kuomba matibu mabovu CAF ila safari hii kwenyenmakundi amekwama ..ni kweli yanga ni malofa hata vitabu vya historia vimeandika
Simba angekuwa Klabu Bingwa msimu huu bado ingewekwa Pot 1.Pot 1 wa shirikisho ukimleta kwa wanaume anakweda pot 3
Pot 1 ya Losers Cup aka Kombe la Wamama mtapigwa kama ngoma.Hizo habari za Pot 1 wamejifanya kama hawajazisikia vileee.
Hersi lini ataitisha kikao cha vilabu tuone ukubwa wake, kama kikao hakijajaa vitimu vidogo kama Lipuli, Vital'O na Marumo.
SIMBA kama tungekuwa klabu bingwa bado tungekuwa pot no.1 kataa tuone.Pot 1 ya Losers Cup aka Kombe la Wamama mtapigwa kama ngoma.
Kama sielewi hivi watu wa Mpira wanapoona Simba kuwa Pot 1 Shirikisho ni jambo dogo kuliko Rais wa Yanga Hersi Saidi kuwa Mwenyekiti wa vilabu Afrika.
Hivi kati ya hayo mambo mawili ni lipi watanzania wanatakiwa kujivuna nalo???