Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,443
- 40,537
Kama sielewi hivi watu wa Mpira wanapoona Simba kuwa Pot 1 ni jambo dogo kuliko Rais wa Yanga Hersi Saidi kuwa Mwenyekiti wa vilabu Afrika.
Hivi kati ya hayo mambo mawili ni lipi watanzania wanatakiwa kujivuna nalo???
Hivi kati ya hayo mambo mawili ni lipi watanzania wanatakiwa kujivuna nalo???