Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,776
- 36,168
Heshima kwenu wakuu.
Yule mwanamuziki mahiri mwenye sauti ya dhahabu Kasalo Kyanga amefariki dunia leo.
Kasalo Kyanga atakumbukwa sana kwa tunzi zake nzuri tangu akiwa Matimila,Toma Toma,Tancut Almasi na Maquiz du zaire.
Baadhi ya tungo zake [1] Nina kwenda safari na Karubandika.
Source;Radio one kipindi hizi nazo.
Yule mwanamuziki mahiri mwenye sauti ya dhahabu Kasalo Kyanga amefariki dunia leo.
Kasalo Kyanga atakumbukwa sana kwa tunzi zake nzuri tangu akiwa Matimila,Toma Toma,Tancut Almasi na Maquiz du zaire.
Baadhi ya tungo zake [1] Nina kwenda safari na Karubandika.
Source;Radio one kipindi hizi nazo.