Hapana mkuu twaendelea kuwasiliana sana kwa simu.Kaniahidi zoezi na chakula vikifeli tutaenda wote hospitali so yupo pamoja na mie kwe hili tatizo!!Anachoogopa ni akiniona anatamani kukutana na mie kwani anakuwa kwe "high excited state"!!Very nice kwa mdada kuwa muwazi wengine hufa kisabuni wakiogopa kutukatisha tamaa...Japo nadhani asingekupa likizo mngeendela kuwa pamoja na mtafute ufumbuzi wote kwa pamoja maana kuna wanaume wengine wao ndivyo walivyo dk 1 yeye kamaliza...Sasa ikiwa hivyo kwako ndo uhusiano umeishia hapo..
Sawa kabisa mkuu ila jitahidi wakati upo likizo nikupe hmework ingine tumia mda huo pia kujifunza jinsi ya kucheza na gitaa vidole viwe flexible kabisa..Maana ukitumia vidole hivyo vizuri hakika unaweza mfikisha kunako paradiso...Imagine unadhani wale lesbian wako na kifanyio basi ni utaalamu wa kucheza vizuri mpaka wanasema best ako akikamatwa na hao malesb kwako hatokuja kamwe..Hapana mkuu twaendelea kuwasiliana sana kwa simu.Kaniahidi zoezi na chakula vikifeli tutaenda wote hospitali so yupo pamoja na mie kwe hili tatizo!!Anachoogopa ni akiniona anatamani kukutana na mie kwani anakuwa kwe "high excited state"!!
kaka mie sina la kusema maana nilisalitiwa miaka kadhaa bila kujua ila kwa sasa basi ngoja hapa palipobaki nimalizie maisha peke yangu, sitaki tena mabo hayaNi mkeo? jaman uzinziiiiiiiiiiiiiii
Mdada yuko sahihi mkuu, haiwezekani kuendelea kukaa pamoja kwa sababu mdada anateseka!!.....sasa hayo ndiyo matunda ya punyeto na kila mtu ajifunze hapa!Very nice kwa mdada kuwa muwazi wengine hufa kisabuni wakiogopa kutukatisha tamaa...Japo nadhani asingekupa likizo mngeendela kuwa pamoja na mtafute ufumbuzi wote kwa pamoja maana kuna wanaume wengine wao ndivyo walivyo dk 1 yeye kamaliza...Sasa ikiwa hivyo kwako ndo uhusiano umeishia hapo..
duuh mkuu hiyo avatar yako ni balaa, by the way sichoki kuitazamaFunga jiwe la kilo 1 kwa mboo simama kwa dakika 20 kila siku kwa wiki mbili thn kutana naye uyo utakuja kunipa ripoti baada ya gemu
kwasasa nimeanza zoezi na kula vyakula vya kuongeza nguvu (nimeacha punyeto,chipsi na soda)
ni vyakula hafifu mkuu asilimia kubwa wanaokula chips wanaume wa Dar nguvu za kiume hamna kituChipsi na soda vina uhusiano gani uwezo wa kumridhisha mwanamke wako?
ni vyakula hafifu mkuu asilimia kubwa wanaokula chips wanaume wa Dar nguvu za kiume hamna kitu