Kampuni ya ulinzi inahitaji kuongeza wanahisa wawili

Sabih kilimo

Member
Feb 10, 2019
54
30
Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa kampuni ya ulinzi ya THE NEW MILLENIUM SECURITY SERVICE CO.LTD anahitaji kuongeza share holder wawili kwenye kampuni yake.

Kampuni ina makao makuu yake jijini Tanga na matawi sehem tofaut tofaut.

Mmiliki wa kampuni anatanguliza shukrani kwenu na uchangamkiaji mwema kwa fursa hii.

Kwa mawasiliano zaidi

+255712331257
 
Kama wanahisa kwamaana akamilishe idadi aniweke hapo mwanahisa hewa atanipa gawio la 100K kwa mwezi tu huku sijui chochote kuhusu kampuni.
 
Tunashukuru kwa kutushirikisha fursa mkuu,lakini napenda kujua vigezo kwa mwanahisa anayetaka kujiunga anapaswa kua na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…