Yanayoendelea kukamatwa kwa Lissu, na Heche ni kama mpango wa kuifuta No reforms no election

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
22,266
41,867
Kamata Tundu Lissu, kamata John Heche, halafu kikao Cha Kamati Kuu kiitishwe, maazimio yawe No Reforms No Election ifutwe.

Makamo Zanzibar anakaimu uenyekiti halafu Tume inasemwa ilikosea kusema Kusaini Kuna mwisho. CHADEMA wanasaini.

John Mrema aliposema siku si nyingi watia nia wasikate tamaa hamkumwelewa!?
 
Kamata Tundu Lissu, kamata John Heche, halafu kikao Cha Kamati Kuu kiitishwe, maazimio yawe No Reforms No Election ifutwe.

Makamo Zanzibar anakaimu uenyekiti halafu Tume inasemwa ilikosea kusema Kusaini Kuna mwisho. CHADEMA wanasaini.

John Mrema aliposema siku si nyingi watia nia wasikate tamaa hamkumwelewa!?
Ndoto za Asubuhi Hizo !!
 
Kamata Tundu Lissu, kamata John Heche, halafu kikao Cha Kamati Kuu kiitishwe, maazimio yawe No Reforms No Election ifutwe.

Makamo Zanzibar anakaimu uenyekiti halafu Tume inasemwa ilikosea kusema Kusaini Kuna mwisho. CHADEMA wanasaini.

John Mrema aliposema siku si nyingi watia nia wasikate tamaa hamkumwelewa!?

Labda ungesema yule aliyepanga kuwafukuza kina TAL:

 
Kamata Tundu Lissu, kamata John Heche, halafu kikao Cha Kamati Kuu kiitishwe, maazimio yawe No Reforms No Election ifutwe.

Makamo Zanzibar anakaimu uenyekiti halafu Tume inasemwa ilikosea kusema Kusaini Kuna mwisho. CHADEMA wanasaini.

John Mrema aliposema siku si nyingi watia nia wasikate tamaa hamkumwelewa!?
Chawa, uchawa, kunguni, ukunguni, kiroboto, ukiroboto, funza, ufunza, panya, upanya, ad infinitum.
 
Kamata Tundu Lissu, kamata John Heche, halafu kikao Cha Kamati Kuu kiitishwe, maazimio yawe No Reforms No Election ifutwe.

Makamo Zanzibar anakaimu uenyekiti halafu Tume inasemwa ilikosea kusema Kusaini Kuna mwisho. CHADEMA wanasaini.

John Mrema aliposema siku si nyingi watia nia wasikate tamaa hamkumwelewa!?
Safi kabisa tena hao wanatakiwa kufukuzwa Chadomo
 
Back
Top Bottom