Pre GE2025 DSM Polisi yakana kuwashikilia Heche na wenzake! Wasema walikuwa wanazuia fujo kutokana na kutokuwepo uwanja wa mkutano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
26,415
80,685
Wewe Si wa kusema Eneo la Mkutano wa CDM Lina wafanyabiashara, mara Kuna Wanachama hawakiungi mkono CDM, mara wapo wanao support na blaa blaa blaa za Hovyo hovyo !!.

Hayo hukuyajua wakati CCM wanafanya mikutano yao Kariakoo?? Mlishawahi wazuia CCM wasifanye mikutano hapo??.

Au CCM ikiwa na Mikutano ,Kariakoo ndio inabadilika kua Eneo lisilo na biashara??.
=================
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo halijamkamata mtu, ila limezuia fujo eneo la biashara Kariakoo kwa sababu hakuna uwanja wa mikutano wa hadhara.

Kamanda Muliro amezungumza kwa kina na ITV DIGITAL na kwamba watu wote walioondolewa eneo la Kariakoo wako huru na kusisitiza kwamba hawajashikiliwa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Muda mfupi uliopita Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema baada ya Heche kukamatwa, alipelekwa Kituo cha Polisi Msimbazi, lakini baadaye aliondolewa na polisi na viongozi walipoenda kuuliza walijibiwa kuwa hakufikishwa kituoni hapo.

Shame on You !!!
 
Wakuu,

Hii ni sinema gani tena? Yaani tumewaona wakiingiza watu mzobe mzobe kwenye gari halafu wakane kuwa hawajawashikilia?

====

1745349637750.png

Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, likisema halimshikilii Makamu mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Aman Golugwa amesema bado wanamtafuta kiongozi huyo kujua ni kituo kipi cha Polisi anakoshikiliwa.

Pia soma:
Heche anadaiwa kukamatwa leo Jumanne Aprili 22, 2025 muda mfupi baada ya kuanza mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa kutoa elimu kuhusu kampeni yao ya ‘No reforms, no election’ (Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi) katika Mtaa wa Mkunguni na Nyamwezi mkabala na Soko Kuu la Kariakoo.

Mwananchi lilizungumza na Golugwa kutaka kujua kiongozi huyo amepelekwa katika kituo gani cha Polisi kiongozi huyo amesema; "Hadi sasa hatujui kiongozi wetu alipo tumezunguka vituo vyote, Kituo cha Central Polisi na Osterbay bado hatujamuona.”

Kulingana na Golugwa wakati anakamatwa maeneo ya Mkunguni, alipakizwa kwenye gari lakini walipokaribia maeneo ya Polisi Central walimbadilisha na kumpandisha kwenye gari lingine.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kufuatia malezo hayo, alipoulizwa Kamanda wa Kanda Maalumu, Jumanne Muliro amesema "Kifupi hatujakamata mtu isipokuwa tulikuwa tunatuliza hekaheka zilizokuwa zinaendelea katika eneo lile na kama si jeshi la Polisi kuwa sehemu ile kuna kitu kibaya kingetokea,"

Kulingana na Muliro amesema Jeshi la Polisi walichokifanya ni kusambaratisha watu waliokuja na kiongozi huyo John Heche ili kurejesha utulivu wa eneo hilo baada ya kubaini jambo la uvunja sheria lingetokea.
 
Wakuu,

Hii ni sinema gani tena? Yaani tumewaona wakiingiza watu mzobe mzobe kwenye gari halafu wakane kuwa hawajawashikilia?

====

Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, likisema halimshikilii Makamu mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Aman Golugwa amesema bado wanamtafuta kiongozi huyo kujua ni kituo kipi cha Polisi anakoshikiliwa.

Heche anadaiwa kukamatwa leo Jumanne Aprili 22, 2025 muda mfupi baada ya kuanza mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa kutoa elimu kuhusu kampeni yao ya ‘No reforms, no election’ (Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi) katika Mtaa wa Mkunguni na Nyamwezi mkabala na Soko Kuu la Kariakoo.

Mwananchi lilizungumza na Golugwa kutaka kujua kiongozi huyo amepelekwa katika kituo gani cha Polisi kiongozi huyo amesema; "Hadi sasa hatujui kiongozi wetu alipo tumezunguka vituo vyote, Kituo cha Central Polisi na Osterbay bado hatujamuona.”

Kulingana na Golugwa wakati anakamatwa maeneo ya Mkunguni, alipakizwa kwenye gari lakini walipokaribia maeneo ya Polisi Central walimbadilisha na kumpandisha kwenye gari lingine.

Kufuatia malezo hayo, alipoulizwa Kamanda wa Kanda Maalumu, Jumanne Muliro amesema "Kifupi hatujakamata mtu isipokuwa tulikuwa tunatuliza hekaheka zilizokuwa zinaendelea katika eneo lile na kama si jeshi la Polisi kuwa sehemu ile kuna kitu kibaya kingetokea,"

Kulingana na Muliro amesema Jeshi la Polisi walichokifanya ni kusambaratisha watu waliokuja na kiongozi huyo John Heche ili kurejesha utulivu wa eneo hilo baada ya kubaini jambo la uvunja sheria lingetokea.
Wanamuuwa
 
Wakuu,

Hii ni sinema gani tena? Yaani tumewaona wakiingiza watu mzobe mzobe kwenye gari halafu wakane kuwa hawajawashikilia?

====


Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, likisema halimshikilii Makamu mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Aman Golugwa amesema bado wanamtafuta kiongozi huyo kujua ni kituo kipi cha Polisi anakoshikiliwa.

Pia soma:
Heche anadaiwa kukamatwa leo Jumanne Aprili 22, 2025 muda mfupi baada ya kuanza mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa kutoa elimu kuhusu kampeni yao ya ‘No reforms, no election’ (Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi) katika Mtaa wa Mkunguni na Nyamwezi mkabala na Soko Kuu la Kariakoo.

Mwananchi lilizungumza na Golugwa kutaka kujua kiongozi huyo amepelekwa katika kituo gani cha Polisi kiongozi huyo amesema; "Hadi sasa hatujui kiongozi wetu alipo tumezunguka vituo vyote, Kituo cha Central Polisi na Osterbay bado hatujamuona.”

Kulingana na Golugwa wakati anakamatwa maeneo ya Mkunguni, alipakizwa kwenye gari lakini walipokaribia maeneo ya Polisi Central walimbadilisha na kumpandisha kwenye gari lingine.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kufuatia malezo hayo, alipoulizwa Kamanda wa Kanda Maalumu, Jumanne Muliro amesema "Kifupi hatujakamata mtu isipokuwa tulikuwa tunatuliza hekaheka zilizokuwa zinaendelea katika eneo lile na kama si jeshi la Polisi kuwa sehemu ile kuna kitu kibaya kingetokea,"

Kulingana na Muliro amesema Jeshi la Polisi walichokifanya ni kusambaratisha watu waliokuja na kiongozi huyo John Heche ili kurejesha utulivu wa eneo hilo baada ya kubaini jambo la uvunja sheria lingetokea.
Ijumaa atapandishwa kizimbani kwa kosa la ugaidi
 
Wewe Si wa kusema Eneo la Mkutano wa CDM Lina wafanyabiashara, mara Kuna Wanachama hawakiungi mkono CDM, mara wapo wanao support na blaa blaa blaa za Hovyo hovyo !!.

Hayo hukuyajua wakati CCM wanafanya mikutano yao Kariakoo?? Mlishawahi wazuia CCM wasifanye mikutano hapo??.

Au CCM ikiwa na Mikutano ,Kariakoo ndio inabadilika kua Eneo lisilo na biashara??.
=================
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo halijamkamata mtu, ila limezuia fujo eneo la biashara Kariakoo kwa sababu hakuna uwanja wa mikutano wa hadhara.

Kamanda Muliro amezungumza kwa kina na ITV DIGITAL na kwamba watu wote walioondolewa eneo la Kariakoo wako huru na kusisitiza kwamba hawajashikiliwa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Muda mfupi uliopita Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema baada ya Heche kukamatwa, alipelekwa Kituo cha Polisi Msimbazi, lakini baadaye aliondolewa na polisi na viongozi walipoenda kuuliza walijibiwa kuwa hakufikishwa kituoni hapo.

Shame on You !!!
Kusema za ukweli mi sisiemu imechanganyikiwa na hii No reform No Election ilijua leo Heche lazima akandamize issue ya Wachina wa Kariakoo ambao ni threat kwa wafanyabiashara wetu yakaona ikimuacha tu itapasuka vibaya inasahau kariakoo kuna makazi ya watu kariakoo kuna wapiga kura sio sehemu ya biashara tu kama mkuu wa mkoa anashindwa kuelewa hilo ndio mana mambo ya mwendo kasi yanawashinda
 
Back
Top Bottom