Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
2,593
7,486
Ndugu zangu salaam

Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.

1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke

2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu

3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .

Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia

Nawatakia kilala heri
 
Mnalifanya jambo kuwa complicated kuliko uhalisia. Life is all about principles, na haziwezi fanana kwa watu wote.

Anayetaka kuoa single mother aoe, asiyetaka aache. Ila hakuna upande wenye haki ya kumshawishi mwenzake kwamba ndio upande sahihi.
 
Nomah sana Sheikh!

20240331_235606.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Ni bora kubaki single kuliko kulea bao la mwanaume/wanaume wenzako

Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana

Hata kama mama yako alikulea akiwa single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana

Ndio ujue wanawake wanajuana

Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa na kukuona mjinga, amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!

Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga, a useless son.

Ni mwanaume mpumbavu tu ndiye anayeoa single maza.

Learn or perish
 
Single maza ni malaya

Kama ameshindwa kuitunza ndoa au mahusiano yake mpaka akaachika hiyo tayari ni red flag kuwa hafai kuwa mke
Wanaoshindwa kuolewa ni asilimia ndogo sana,
Asilimia kubwa ya stori za single maza ni wale waliojilipua baada ya mimba kukataliwa wakagoma kuzitoa. 80%
 
Sometimes nawaonea huruma hawa watu..

Punguzeni spana.. maana kwa Ke ambaye hana mtoto ikatokea kapata mimba kuna asilimia kubwa akafanya abortion ili kukwepa hizi ajenda za kuitwa SINGO MAMA.


Binafsi kuoa Mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine inategemea na Umri wa huyo mtoto. Kama ni chini ya mwaka, yes I can.

Pia sababu za yeye kuwa single Mama ni zipi.. na huyo mwenyew mtoto yupo wapi.. attachment yake kwa mtoto/Mama mtoto ni ikoje.

Otherwise ni vyema kuanza mechi 0-0
 
Ndugu zangu salaam

Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.

1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke

2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu

3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .

Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia

Nawatakia kilala heri
Sijui kwanini hili swala la kuwananga single mother linakua hivi, Humu humu kuna wanaume wamewatia mimba wasichana wa watu na kuwatelekeza+kukana mimba, then after huyo huyo mtu ndo yuko mstari wa mbele kuwasema Single Mother.
 
Sijui kwanini hili swala la kuwananga single mother linakua hivi, Humu humu kuna wanaume wamewatia mimba wasichana wa watu na kuwatelekeza+kukana mimba, then after huyo huyo mtu ndo yuko mstari wa mbele kuwasema Single Mother.
Umeona dunia na mashangazo yake Mkuu. Dunia ina mapembe na mapembelo
 
Binafsi kuoa Mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine inategemea na Umri wa huyo mtoto. Kama ni chini ya mwaka, yes I can.

Pia sababu za yeye kuwa single Mama ni zipi.. na huyo mwenyew mtoto yupo wapi.. attachment yake kwa mtoto/Mama mtoto ni ikoje
Single maza huwa hawana upendo wa kweli ni wanafiki tu

Single maza sikuzote anatafuta mwanaume mjinga mjinga wa kumbebesha zigo la kumtunza yeye na mtoto wa baby daddy wake

Usimwonee huruma single maza hata siku moja kumbuka siku anatiwa mimba ilichomoka akairudishia

Her baby daddy and kid(s) will always come first
 
Back
Top Bottom