Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.

Magical power

JF-Expert Member
Sep 27, 2022
1,888
5,028
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
1732439136847.jpg

Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
 
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
View attachment 3160191
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
Kwa uelewa wangu, Mwanaume kuna Huduma anakosa kutoka kwa Mwanamke wakati Mwanamke anapokuwa kwenye utafutaji, mfano Mwanaume kulala peke yake usiku nyumbani, n.k Sasa, kwa mazingira haya, binafsi ziwezi ruhusu Fedha ya Mwanamke kutotumika kwenye budget ya Familia. Vingenvyo, Mwanamke aache kazi, anihudumie ipasavyo.

Kuruhusu kipato cha Mwanamke kutotumika kwenye ujenzi wa Familia, ni udhaifu na ujanja unaotumiwq na Wanawake kuikandamiza jinsia ya Kiume. Haiwezekani tuwe na fursa sawa ya kutengeneza kipato, tena huku Mwanamke akiwa na upendeleo, halafu kipato cha Mwanamke kisitumike kwenye Familia.

Wanaume tujitambue thamani yetu na kurudi kwenye nafasi yetu. Kama huwezi kumwachisha kazi Mwanamke, basi kipato chake kitumike kwenye ujenzi wa Familia.
 
Kwa uelewa wangu, Mwanaume kuna Huduma anakosa kutoka kwa Mwanamke wakati Mwanamke anapokuwa kwenye utafutaji, mfano Mwanaume kulala peke yake usiku nyumbani, n.k Sasa, kwa mazingira haya, binafsi ziwezi ruhusu Fedha ya Mwanamke kutotumika kwenye budget ya Familia. Vingenvyo, Mwanamke aache kazi, anihudumie ipasavyo.

Kuruhusu kipato cha Mwanamke kutotumika kwenye ujenzi wa Familia, ni udhaifu na ujanja unaotumiwq na Wanawake kuikandamiza jinsia ya Kiume. Haiwezekani tuwe na fursa sawa ya kutengeneza kipato, tena huku Mwanamke akiwa na upendeleo, halafu kipato cha Mwanamke kisitumike kwenye Familia.

Wanaume tujitambue thamani yetu na kurudi kwenye nafasi yetu. Kama huwezi kumwachisha kazi Mwanamke, basi kipato chake kitumike kwenye ujenzi wa Familia.
Hii nondo ni nzito lakini mhuuuuu ! Sisi wanasiasa tunasemaga "he who pays the menu chooses the bill"
 
Huo ni ujinga na udhaifu. Mnapokubaliana kuishi pamoja kama mume na mke maana yake wote wawili mnatumia muda wa familia. Kwa maana iyo lazima kila mmoja alete output kwenye muda wa familia anaoutumia.

Mwanamke awe na kipato halafu kisijumishwe kwenye bill za familia this is mis-used of family time, ni bora aache kazi abaki nyumbani kutunza nyumba na kulea watoto.
 
Mimi bachelor nina swali;

Kama wanawake hawachangii pato la familia mbona nawaona wamejaa sana makazini na wanakopa sana VICOBA?
 
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
View attachment 3160191
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
Yote hayo ya nini Kuna aliekulazimisha Kuoa? Hakuna atakaekulazimisha Kuoa au kutokuoa.. nowdays .. Ndoa imekua ajira kwa mwanamke masikini. Usioe mwanamke masikini.
 
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
View attachment 3160191
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
Kuna wanaume hawapend kutumia Hela za wanawake zao hata akibanwa shida Yuko radhi umkopeshe Kwa Riba Na io ribs anaiomba yeye mwenyewe 😅😅
 
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
View attachment 3160191
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
Hio picha inamaanisha nini kwenye hii mada?
Ni ujinga mwanaume kuoa mwanamke ukitegemea mutakuja kusaidiana?,.......mwanamke wa kuoa inabidi awe available kwako muda wote.....kua mke wako ameenda kuchukua mzigo china?,yupo kwenye semina?,yupo masomoni?😄😀,sasa unatomba saa ngapi?,mke wako akitombwa huko aliko utasema huu ni usaliti?
Yaani umuache kuku akajitafutie chakula msituni huko hadi usiku,amezwe na chatu umlaumu kuku?
Wanaume wengi wamefall kwenye huu Upumbavu
 
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
View attachment 3160191
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.

Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.

Stand as a man hudumia familia, hela yake itumike katika hali ya emmergency na ukiweza una refund ili kuhakikisha una sauti.

Najaribu kumaanisha kwamba usibweteke katika kuhudumia familia kisa wife anacho kipato, italeta shida na bomu utakalokuwa unasuka ni kubwa sana.
We nawe!

Kwahiyo unadhani wanawake wasio na kipato kina kasongoyeye hawawagongi!!?
Bila kujali ana kipato au hana mwanamke akianza kupata mtu wa kumpa vihela na kumgonga nje ataanza dharau na kupandisha mabega tu!!!

Mahusiano hayana formula!

Nikupe mfano!!!?

Jamaa alitangulia kuajiriwa akaanza kupokea noti,yule Dem wake wa chuo ambae alimoa mimba hakumuacha coz alipoenda kujifungua kwao jamaa alimfuata wakaanza maisha baadae Dem akapataajira halmashauri nyingine ,ilibidi jamaa aongee na wakubwa wakaihamisha ajira pale alipojamaa coz alimuonea huruma mtoto na mama kwenda kuanza maisha mapya sehem nyingine!!

Kwa kua jamaa ni nice guy ,tangu mwanzo alikua na tendency ya kupiga bajet na mke wake ya mwezi mzima hasta kabla mke hajaajiriwa Wala hakua na uhakika kama atapata ajira au lah!!

Ke alipopata Ajira wakaanza kujenga na kushirikiana Kwa Kila hali Hadi wakapata pa kushika!!

Kivumbi alikuja mama mkwe yaani mama was jamaa ndipo mwanamke akaanzisha sarkasi na kuanza kutoka na madon wenye pesa wa kitaa!!

Sasa unadhani jamaa alikosea Nini!!?maana kama ni kazi ke amepata akiwa anakula vya jamaa!!!

Jamaa hakua na ndoto ya kuoa muajiriwa ilitokea TU by chance hata hivyo mshikaji kagoma kuhalalisha ndoa kabisa coz anaona amepoteza hamasa na mstakabali wa maisha!!!

NDOA HAINA KANUNI SPECIFIC WALA MAFUNZO MAALUM YANAYOWEZA KUWA TIBA HALISI YA KILA MAHUSIANO DUNIANI!!!

BY EXPERIENCE WANAWAKE WALIOAJIRIWA HUWA WANALILIA NDOA SANA HATA KUWABEMBELEZA JAMAA ZAO ILI WAFUNGE HIZO NDOA LAKINI IKISHAFUNGWA TU NA AKAPATA ANACHOTAKA !SARAKASI HUANZA!!

Case study Kuna mmoja alikopa kabisa Ili afunge ndoa na mke wake ambae ni mwajiriwa idara ya msingi,ndoa ilifana na mimi nilimchangia jamaa,

Sasa hivi huyo shemeji yetu kapanda cheo,huyu jamaa kawa houseboy anafua na kupikia watoto wakati mkewe anaranda tu mtaani!!!

Wapo waliosomesha watoto na kujenga vitega uchumi wameuliwa mapema na wake zao au hawana sauti tena!!!

NDIO MAANA MIMI SIDHARAU WANAOJINYONGA AU KUWAUA WAKE ZAO NA KUISHIA JELA!!
 
Kwa uelewa wangu, Mwanaume kuna Huduma anakosa kutoka kwa Mwanamke wakati Mwanamke anapokuwa kwenye utafutaji, mfano Mwanaume kulala peke yake usiku nyumbani, n.k Sasa, kwa mazingira haya, binafsi ziwezi ruhusu Fedha ya Mwanamke kutotumika kwenye budget ya Familia. Vingenvyo, Mwanamke aache kazi, anihudumie ipasavyo.

Kuruhusu kipato cha Mwanamke kutotumika kwenye ujenzi wa Familia, ni udhaifu na ujanja unaotumiwq na Wanawake kuikandamiza jinsia ya Kiume. Haiwezekani tuwe na fursa sawa ya kutengeneza kipato, tena huku Mwanamke akiwa na upendeleo, halafu kipato cha Mwanamke kisitumike kwenye Familia.

Wanaume tujitambue thamani yetu na kurudi kwenye nafasi yetu. Kama huwezi kumwachisha kazi Mwanamke, basi kipato chake kitumike kwenye ujenzi wa Familia.
Hapo pa kulala pekee yako kisa mke yuko kufanya biashara minadani huko hapana mkuu akae tu nyumbani nitamhudumia.

Kwanza sio vizuri mke anaenda kutafuta anakuacha nyumbani. Utazaauliwa mno mkuu
 
Hio picha inamaanisha nini kwenye hii mada?
Ni ujinga mwanaume kuoa mwanamke ukitegemea mutakuja kusaidiana?,.......mwanamke wa kuoa inabidi awe available kwako muda wote.....kua mke wako ameenda kuchukua mzigo china?,yupo kwenye semina?,yupo masomoni?,sasa unatomba saa ngapi?,mke wako akitombwa huko aliko utasema huu ni usaliti?
Yaani umuache kuku akajitafutie chakula msituni huko hadi usiku,amezwe na chatu umlaumu kuku?
Wanaume wengi wamefall kwenye huu Upumbavu
Kabisa
 
Hio picha inamaanisha nini kwenye hii mada?
Ni ujinga mwanaume kuoa mwanamke ukitegemea mutakuja kusaidiana?,.......mwanamke wa kuoa inabidi awe available kwako muda wote.....kua mke wako ameenda kuchukua mzigo china?,yupo kwenye semina?,yupo masomoni?😄😀,sasa unatomba saa ngapi?,mke wako akitombwa huko aliko utasema huu ni usaliti?
Yaani umuache kuku akajitafutie chakula msituni huko hadi usiku,amezwe na chatu umlaumu kuku?
Wanaume wengi wamefall kwenye huu Upumbavu
Ujinga mwingine huo!

Kwani sababu ya kuoa ni nini!!?

Yaani Hawa aliumbwa na Mungu Ili awe nani Kwa Adam zaidi ya msaidizi!!?

Hao wenye Hela wanaotombewa na boda boda kanuni hiyo inatumika!!?

Unafikiri ukibeba majukum yote mkeo hato ku cheat na kukudharau!!?na kama anakuheshim kwanini aku cheat!!?

Kama wewe ni mkristo kasome mithali 31 uone mke mwema anavyopaswa kupiga kazi Hadi anasifiwa na mumewe plus wazee!!

Mawazo ya haki sawa,uanaharakati wa.kike ndio janga Hadi sisi me tumefikia hatua kuona msaada wa make kwenye ndoa ni dharau lakini ndio asili yenyewe ilivyo na kwa mawazo hayo ndoa nyingi zitaharibika!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom