🤣🤣🤣Itakua wengi wamechemsha,si unaona wanaupita uzi kimya kimya?
Mbona huja Calculate CIF kwanza.Lile swali la mwisho la calculations majibu yake ni hayo hapo.
Lilikua na marks 20 lote.
Ukilikosa lote means 20 marks zinaondoka.
Changamoto
Mpambanaji inabidi uwe na plan B, hapo ilitakiwa akili ichemke kukabiliana na kukokotoa kwa kawaida.One man down
Sema kukosa calculator kumetuathiri wengi wetu.
Hilo swali halikua gumu wala
Wewe umelipata mkuu?Mpambanaji inabidi uwe na plan B, hapo ilitakiwa akili ichemke kukabiliana na kukokotoa kwa kawaida.
Noma sana mkuuItakua wengi wamechemsha,si unaona wanaupita uzi kimya kimya?
Kifo cha wengiOne man down
Sema kukosa calculator kumetuathiri wengi wetu.
Hilo swali halikua gumu wala
Kipengele cha kwanza hapo hakionekani nadhani ndo kilitaka utafute CIF kama sikoseiMbona huja Calculate CIF kwanza.
MnoChangamoto
Tupe dondoo,mechukua marks mwisho ngapi afsa?Tuna malizia kusahisha mmefaulu sana
Ijumaa sio mbaliAcha kuwapa watu mawazo , ngojea matokea tu .
Umelipata?Hahahahahah subiri Matokeo yaje kwanza