Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Royal Son

JF-Expert Member
Dec 22, 2016
741
1,337
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭
Credit FACEBOOK
Aisee kinachoniumq. X kuwa ndani ya nyu.mba niliojenga aiseee achatu.....

M kuna kipindi nilikuwa na mke mshenzi nkabadili viwanja 3 kwenda kwa mama

Hiwezi amini siku tukomahakaman anasema tumenunua viwanja na alinikuta navyo nkamwambia pole yake m nilijenga kwa mama akaitwa akaonyshwa hati na kimoja tulipitia serkl zamitaa alintumia matusi mwaka mzima nkasema ajanidhuru nkablock mwisho nkabadili line nikawa huru

Hawa chuchu akilizao wanazijua wao hata unaesoma huyo ulienae ishi nae kwa akili sana

Mungu atupe mwisho mwema yaan talaka inatkka kawe mwanamke analia anasema bado ananipendaa hataki tuachane akambjwa we si ndoo umrkuja mahakaan kuomba takaka na tumewapa miezi 3 mwelewane ukaja kusema hatuwezi unalilia talaka unataka kutuambja mara zote mlizokuja tulikuwa tunapoteza mda hapa..biasjara ikaisha woi

Nimekaa na zile hati hata huyu nkr nioirnae sasa r anaupendo lakni nikikumbuka weweee
wanajua kaka zangu tu na ndugu mmoja mwingine
 
Back
Top Bottom