Kama kweli kuna peponi, hawa watu weupe wanavyotuchukia wangeleta kweli kitu kinaitwa dini ili twende nao huko peponi?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Jun 25, 2019
3,664
5,000
Dini zipo nyingi
sio uislamu na ukristo tuu
kabla ya watu weupe kuja africa tulikua tunaabudu mungu kupitia dini gani??

Mungu si yupo tuu kabla hata ya hizi dini za watu weupe kuja?

Hizi dini mpya za kikoloni ni utapeli
(mungu yupo) ila tafuta namna ya kumuomba kama mababu zako walivyofanya kabla ya hawa matapeli wa kikoloni kutuletea huu utapeli!

Mchina anapiga hatua tuu na dini zake za asili dini za kitapeli kama hizi alishazikataa!

Mungu hana dini, mungu hakuleta dini yoyote!

Dini ililetwa ili kuwapumbaza watu ili tutawalike, cha ajabu wakoloni wameondoka lakini sisi bado tunashika dini zao na mila zao

tuamke.
Dini ni biashara, dini ni njia ya kutawala wengine, dini ni siasa
 

Attachments

  • SaveVid.Net_AQMWjaFfslv21O1-u-lCCOd-Yrth1jUQbHcEeVpOTWoTpVlB3x8eQiPD8kYGSb1lQ-m1VuGv1A3RwUzl27...mp4
    1.7 MB
Dini zipo hata Ulaya/Marekani. Je, wao pia wanawatapeli wananchi wao??

Dini ya kweli huubiri upendo na kuheshimiana.

Taasisi za dini zikitumika vema, hizisaidia sana serikali/Police katika kuongoza umma na kupunguza matendo ya uhalifu/tabia mbaya ndani ya jamii.
 
Hawa watu weupe wanatuchukia kwa sababu waligundua sisi blacks ni masnitch mbaya...yaan hatari 🚮
 
Hujui hata nauliza nini, kwanin Mimi nmesema Dini zote NI za muarabu? DINI ya muarabu inajulikana, na ndio ujinga MTU mweusi unaishi Kwa kufuata tamaduni na Dini za MTU asiekuhusu, NATAKA KUJUA KWA SISI WATU WEUSI HATUKUA NA DINI? YANI TULIKUA TUNAMUOMBAJE MUNGU KABLA YA HIZI DINI ZILIZOKUJA NA JAHAZI HAZIJAJA
 
Peponi Yenyewe ingekuepo Wazungu ungekuta washaenda uko, Kama sayari ya Mars tu wanaenda wachdche na kuna mpango wa kupeleka watu uko iyo Mbingu iko wapi,.

MTu alikaa akadraft SIMULIZI na watu wakaziamini bas, Utasikia unabishana na mtu anakazana eti soma mstari fulan soma kifungu fulan badala atumie ata Logic ya ubongo wake kuhoji vitu anarely kwenye mwazo y Mwandishi wa kotabu sijui barua ya mtume paulo sijui Ufunuo wa Yohana, Who is Yohana by the way...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom