Kama aliyemkosoa vibaya hadi Kumtusi Trump Wiki hii Trump Kamteua kuwa Mgombea Mwenza kumbe hata Mimi Mkosoaji 2025 naweza kuwa Mgombea Mwenza wake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
58,957
115,553
JD Vance aliwahi kumwambia Trump kuwa ni Mpumbavu na Mwendawazimu asiyefaa kuwa Rais wa Marekani ila Wamarekani kwa kutuonyesha kuwa Siasa siyo Chuki na Uadui Wiki hii Mgombea wa Republican Donald Trump kamteua huyo huyo JD Vance kuwa Mgombea Mwenza ikimaanisha kuwa akiwa Rais Jamaa ( JD Vance ) ndiyo atakuwa Makamu wa Rais wa Marekani.

Hivyo basi ni Matarajio yangu makubwa pia kuwa hata Mimi yule ambaye tokea Machi 21, 2021 sikuona Umuhimu wake na nikaanza Kumkosoa na bado namkosoa kwa Kumuona hakuna anachofanya huko Duniani aliko sasa basi na Yeye pia mwakani ( 2025 ) ataniteua GENTAMYCINE kuwa Mgomboea Mwenza wake akiachana na Mkimbizi wa Beni nchini Congo DR aliyenae sasa.
 
Achana na Trump wakati mwingine mara moja moja hata wewe na mimi huonekana wapumbavu kwa sababu fulani ila haimaanishi kuwa ndio hivyo ni maoni na mitazamo tu.
 
JD Vance aliwahi kumwambia Trump kuwa ni Mpumbavu na Mwendawazimu asiyefaa kuwa Rais wa Marekani ila Wamarekani kwa kutuonyesha kuwa Siasa siyo Chuki na Uadui Wiki hii Mgombea wa Republican Donald Trump kamteua huyo huyo JD Vance kuwa Mgombea Mwenza ikimaanisha kuwa akiwa Rais Jamaa ( JD Vance ) ndiyo atakuwa Makamu wa Rais wa Marekani.

Hivyo basi ni Matarajio yangu makubwa pia kuwa hata Mimi yule ambaye tokea Machi 21, 2021 sikuona Umuhimu wake na nikaanza Kumkosoa na bado namkosoa kwa Kumuona hakuna anachofanya huko Duniani aliko sasa basi na Yeye pia mwakani ( 2025 ) ataniteua GENTAMYCINE kuwa Mgomboea Mwenza wake akiachana na Mkimbizi wa Beni nchini Congo DR aliyenae sasa.
Na Trump akifa yeye anakua rais
 
Mi mwenyewe,Kuna mambo niliwahi kufanya mpaka nikajiona mpumbafu.Ila Kwa Sasa mm ndo mjanja na ninapeta tu....
Hakuna linalodumu,hata zege huishiwa uimala na kuweza kusagika bila lapsha lapsha
 
Afadhali mtani upate uwe makamo, nitapata tenda ya kuleta katogoo na chapati ikulu
 
JD Vance aliwahi kumwambia Trump kuwa ni Mpumbavu na Mwendawazimu asiyefaa kuwa Rais wa Marekani ila Wamarekani kwa kutuonyesha kuwa Siasa siyo Chuki na Uadui Wiki hii Mgombea wa Republican Donald Trump kamteua huyo huyo JD Vance kuwa Mgombea Mwenza ikimaanisha kuwa akiwa Rais Jamaa ( JD Vance ) ndiyo atakuwa Makamu wa Rais wa Marekani.

Hivyo basi ni Matarajio yangu makubwa pia kuwa hata Mimi yule ambaye tokea Machi 21, 2021 sikuona Umuhimu wake na nikaanza Kumkosoa na bado namkosoa kwa Kumuona hakuna anachofanya huko Duniani aliko sasa basi na Yeye pia mwakani ( 2025 ) ataniteua GENTAMYCINE kuwa Mgomboea Mwenza wake akiachana na Mkimbizi wa Beni nchini Congo DR aliyenae sasa.
Kaa huko Huko Uganda huku watakupoteza labda ndio uteuzi utakaopata.
 
Back
Top Bottom