Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 8,540
- 19,394
Nusu waniue leo!
Asee njaa njaa jana nikaletewa mchongo kutengeneza radio call hazishiki frequency. Kalaga baho sindo nikajimwambafaiiii... Njaa hizi!
Asee nikapewa advance jana hiyohiyo nikapata hela ya kula. Leo nimeenda pale kuonana na baofeng mpyaaaa.. walinzi wamechanganya frequencies yani radio hazielewani!
Asee toka saa 4 nimeingia huku nimetoka nimeenda huku.. kibegi cha cha spana nikakiona kizito. Toka saa 4 nahangaika kuijua lugha ya radio call ile. Nimekuja kuponea padogo sana baada ya jaribio la ku-restore radio moja kuwezekana.
Mpaka muda huu nikiri kuuona utukufu wa mungu mana wale jamaa wangekomaa nirudishe hela yao na mm nishaibwenga. Mungu wetu sote
Kalaga baho
Asee njaa njaa jana nikaletewa mchongo kutengeneza radio call hazishiki frequency. Kalaga baho sindo nikajimwambafaiiii... Njaa hizi!
Asee nikapewa advance jana hiyohiyo nikapata hela ya kula. Leo nimeenda pale kuonana na baofeng mpyaaaa.. walinzi wamechanganya frequencies yani radio hazielewani!
Asee toka saa 4 nimeingia huku nimetoka nimeenda huku.. kibegi cha cha spana nikakiona kizito. Toka saa 4 nahangaika kuijua lugha ya radio call ile. Nimekuja kuponea padogo sana baada ya jaribio la ku-restore radio moja kuwezekana.
Kalaga baho