Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
mtwara wana gesi wewe harafu wamakonde kina baba kundambandi wanarudi kuwekeza kwao nyie nshomile kwenda kwenu mpaka msikie kuna msibaLindi na mtwara sumbawanga wamekuwa lini matajiri
gesi imeshauzwa kwa wachina..Wanamtwara hawaambulii kitumtwara wana gesi wewe harafu wamakonde kina baba kundambandi wanarudi kuwekeza kwao nyie nshomile kwenda kwenu mpaka msikie kuna msiba
Lindi na mtwara sumbawanga wamekuwa lini matajiri
Hizi porojo zisizo na chanzo cha uhakika haziwezi kujadiliwa na Great Thinkers.Mikoa ya Kagera Mwanza,Geita,Kigoma na Singida imetajwa jana Bungeni kama mikoa ambayo wananchi wake ni maskini wa kipato kiasi wanashindwa hata mlo wa siku.
source;Bungeni na magazeti
Huyo mwalimu wako wa uchumi hapo ndo amekufundisha hivyo.......kumbuka marekani ni wawekezaji wakubwa kwenye mataifa maskin,je marekani imekuwa maskin,imepitwa na Africa? ukijibu swali hilo utakuja kujua kuhusu future ya mikoa ya kaskazini itakuwaje.......The future of Tanzania is in Lindi, Mtwara, Rukwa, Katavi, Ruvuma, Iringa, Njombe and Mbeya....Nenda katika mikoa hii na ufanye utafiti wako uone ni nini namananisha....in 30 years to come Kilimanjaro, Arusha and Kagera zitadidimia chini katika kiwango cha kutisha, hakutakuwa na uwekezaji tena wa ndani...Mikoa hiyo niliyoitaja mwanzo ina 'virgin' land ambayo haijawa exploited...vijana wake ni wachapa kazi...Tatizo la Kilimanjaro ni kuwa hakuna ardhi ya kutosha, wakazi wake wanahamia mikoa mingine, na kuwekeza katika mikoa mingine... Mkoa kama KIGOMA ni potential lakini unaathiriwa na wakimbizi...
Kama hao wanaofanya huo utafiti wa kipato ni kina kitwanga unategemea nini?mtwara wana gesi wewe harafu wamakonde kina baba kundambandi wanarudi kuwekeza kwao nyie nshomile kwenda kwenu mpaka msikie kuna msiba
Ndio utaijua vizuri serikali ya ccm, bado mtashangaa sanaLindi na mtwara sumbawanga wamekuwa lini matajiri
Kagera na mtwara wameanza kujitoa kwenye makucha ya kuichagua ccm ila kabla ya miaka 10 iliyopita walikuwa ni iyela iyela iyelaTafuta na takwimu Mikoa hii huwa inachagua upande gani wakati wa uchaguzi mkuu tuone kama kuna chochote cha kuchangia kwenye uzi huu
Bado wana utajiri mwingi wa mali asili kama hizigesi imeshauzwa kwa wachina..Wanamtwara hawaambulii kitu
Hayo ndiyo maendeleo na sifa nyingine ni kuichagua ccm kwa kishindoAise Dodoma haipo, huu mji unaendelea kwa mwendokasi ktk kila nyanja shda ya maji imekuwa historia hasa maeneo ya mjini, mji umepangika sijui mwaka gani foleni ndo ztaanza
Teeeeeeh teeeeeeeeeh, Dodoma inaongoza kwa maendeleoHao ndio walioingoza kuichagua CCM.
Waendelee kuwa masikini tu.