Kafulila alituambia Mbia wa DART atanunua mabasi 177 na kuyaendesha kwa Ubia na Serikali, Mchechu anasema Serikali imekopa NMB kununua mabasi 100

losegain

Senior Member
Jul 3, 2024
162
172
David Kafulila CEO wa PPP-Cetre nchini na Nehemia Mchechu Msajili wa hazina nchini mnatuchanganya Watanzania,

Kafulila na Waziri Mchengerwa kwa nyakati tofauti tofauti walifafanua vizuri ya kwanini wanatamani mradi wa DART uendeshe kwa Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi.

Kwa hali ya mwendokasi ilivyo sasa Kila mmoja alikubaliana na Bw Kafulila pamoja na Waziri Mchengerwa kuwa ili kupata ufanisi unaotakiwa mradi huu lazima pawepo na Mbia kwani ni kama uendeshaji wa faida umetushinda Watanzania.

Kafulila alituhakikishia kupitia PPP Mbia tayari ameshapatikana na kilichobaki ni kusaini mkataba ili mwekezaji ashushe zaidi ya Mabasi 177 ya kuanzia.

Watanzania tulio wengi tuliona ni bora zaidi kama mtu au kampuni itanunua Mabasi kwa Fedha zake na kuja kuyaendesha kwa Ubia na Serikali na Serikali kupata vipato mbalimbali ikiwemo Kodi, Hakika hili lilikuwa ni jambo jema kwa Taifa.

Tujiulize, Mbona ABOOD, KATARAMBA na wenzao ndivyo wanavyofanya kwani wanatoka huduma Kwa wananchi bila kuiingiza Serikali kwenye madeni ya kujitakia kama haya ya Mchechu na NMB.

Sasa Msajili wa hazina Bwana Nehemia Mchechu anataka kukopa pesa $30M zaidi ya TZS 80 milioni, tukumbuke hii hapa ni kabla ya riba ili kununua mabasi ambayo tumeambiwa tayari mwekezaji anakuja na mengine mapya 177 ya kuanzia,

Kwa msiofahamu bei ya kila basi ni karibu $300,000 kwa maelezo ya Waziri Mchengerwa, sasa kama Mabasi ni 100 íli kuyanunua lazima tukope sawa na jumla ya $30 milioni ambazo ni sawa na TZS 80 bilioni sijajua kuhusu riba kwa kuwa huu ni Mkopo wa kibiashara.

Sasa Kafulila alisema Mbia anunue aendeshe, leo Mchechu amesema serikali inunue iendeshe kitu ambacho imeshashindwa hapo kabla ndio ikawa sababu ya kutafutwa kwa. Mbia huyu.

Leo tena tunaambiwa ununuzi wa mabasi mapya tena kwa mkopo wa kibiashara, ila nchi ngumu sana hii.

Waziri wa Fedha hebu simamia hii na toa ufafanuzi kwani jambo hili linampiganisha Mhe Rais, ili ijulikane kama tunakopa kununua mabasi 100 basi hatuna haja ya Mbia wa mabasi 177 kama tunaleta Mbia hatuna haja tena ya kukopa NMB.

Pia soma <<Kafulila: Tunatekeleza agizo la Waziri Mchengerwa ndani ya muda mfupi ujao DART itasaini mkataba na Mbia nia ni kupunguza gharama Kwa wananchi>>>​
 
Umenena vema. Mradi huu wa BRT ni wa PPP na una njia nyingi ikiwemo Kivukoni kwenda Kimara, Mbagala na Gongo la Mboto. Hivi sasa njia ya kwenda Tegeta nayo inajengwa. Kama alivyosema Mchechu hajapingana na Kafulila kuwa, yanahitajika makampuni zaidi ya matano tena ni kampuni binafsi kuendesha mradi huu kwa PPP. Sasa tujiulize mimi na wewe,
1. Toka tuambiwe makampuni binafsi yanakuja kuwekeza, imepita miaka mingapi? Na yameshajitokeza mangapi hadi hivi sasa? Kumbuka ahadi hizi zilianza toka Magufuli akiwa madarakani.
2. Je, akina Abood uliowataja na Shabiby na wengineo ambao pia ni wabunge wenye taarifa za kina za Serikali, ni kwa nini hawachangamkii hii fursa ya kibiashara?
3. Je, ahadi ya Mchengerwa kuwa mwezi Novemba mwaka huu, kampuni moja binafsi itaanza kazi kwa kuleta mabasi 177, ina uhalisia kwa tarehe ya leo na hatua iliyofikiwa? Ni nani atamkumbusha Mchengerwa kuhusu ahadi yake kwa Umma kupitia Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa wakati wa Bajeti?
4. Kodi zetu mimi na wewe, zilizotumika kujenga barabara ya Kivukoni Mbagala na kukamilika mwaka sasa, je zinaleta matokeo yaliyokusudiwa ikiwa barabara haitumiki kwa kukosa mabasi?
5. Mabasi 177 yaliyoahidiwa toka Kampuni binafsi na hayo 100 aliyoahidi Mchechu yatakayoongezeka, yatakuwa ni asilimia ngapi ya mahitaji ya barabara zilizokamilika kwa kodi zetu mimi na wewe?
6. Je, Mfumo wa PPP unaondoa kabisa ushiriki wa Serikali au ni ushirikiano wa Serikali na sekta binafsi?
Tutafakari Pamoja!
 
David Kafulila CEO wa PPP-Cetre nchini na Nehemia Mchechu Msajili wa hazina nchini mnatuchanganya sana Watanzania,

Kafulila na Waziri Mchengerwa kwa nyakati tofauti tofauti walifafanua vizuri sana kwanini wanatamani mradi huu wa DART uendeshe kwa Ubia.

Kwahali ilivyo sasa Kila mmoja alikubaliana na Bw Kafulila pamoja na Waziri Mchengerwa kuwa ili kupata ufanisi unaotakiwa wa mradi huu lazima pawepo na Mbia kwani ni kama uendeshaji umetushinda Watanzania.

Kafulila alituhakikishia Mbia tayari ameshapatikana na kilichobaki ni kusaini mkataba tu ili mwekezaji ashushe zaidi ya Mabasi 177 ya kuanzia.

Sisi kama Watanzania tuliona ni bora zaidi kama mtu au kampuni itanunua Mabasi kwa Fedha zake na kuja kuyaendesha kwa Ubia na Serikali na Serikali kupata vipato ikiwemo Kodi hili lilikuwa jambo jema.

Mbona ABOÓD na wenzake ndivyo wanavyofanya bila kuiingiza Serikali kwenye madeni ya kujitakia kama haya ya NMB?

Sasa Msajili wa hazina Bwana Nehemia Mchechu anataka kukopa tena $30M zaidi ya TZS 80 milioni hapa ni kabla ya riba ili kununua mabasi ambayo tumeambiwa tayari mwekezaji anakuja na mapya 177 ya kuanzia,

Kwa msiofahamu bei ya kila basi ni $300,000 kwa maelezo ya Waziri Mchengerwa sasa kama Mabasi ni 100 sawa na jumla ya $30 milioni ambazo ni sawa na TZS 80 bilioni sijajua kuhusu riba kwa kuwa huu ni Mkopo wa kibiashara.

Sasa Kafulila alisema Mbia anunue aendeshe, leo Mchechu amesema serikali inunue iendeshe kitu ambacho imeshashindwa kabla ndio ikawa sababu ya kutafutwa Mbia Sasa tena ununuzi wa mabasi mapya tena kwa mkopo ila nchi ngumu sana hii.


Waziri wa Fedha hebu simamia hii na toa ufafanuzi kwani linampiganisha sana Mhe Rais hasa katika wakati huu ili ijulikane kama tunakopa kununua mabasi 100 basi hatuna haja ya Mbia wa mabasi 177 kama tunaleta Mbia hatuna haja ya kukopa NMB tena.​
Ni kawaida kununua kwa pesa za ndani kisha tunakopa ili tununue mabasi tuliyoyanunua, sijui kama sgr tulisalimika.
 
Umenena vema. Mradi huu wa BRT ni wa PPP na una njia nyingi ikiwemo Kivukoni kwenda Kimara, Mbagala na Gongo la Mboto. Hivi sasa njia ya kwenda Tegeta nayo inajengwa. Kama alivyosema Mchechu hajapingana na Kafulila kuwa, yanahitajika makampuni zaidi ya matano tena ni kampuni binafsi kuendesha mradi huu kwa PPP. Sasa tujiulize mimi na wewe,
1. Toka tuambiwe makampuni binafsi yanakuja kuwekeza, imepita miaka mingapi? Na yameshajitokeza mangapi hadi hivi sasa? Kumbuka ahadi hizi zilianza toka Magufuli akiwa madarakani.
2. Je, akina Abood uliowataja na Shabiby na wengineo ambao pia ni wabunge wenye taarifa za kina za Serikali, ni kwa nini hawachangamkii hii fursa ya kibiashara?
3. Je, ahadi ya Mchengerwa kuwa mwezi Novemba mwaka huu, kampuni moja binafsi itaanza kazi kwa kuleta mabasi 177, ina uhalisia kwa tarehe ya leo na hatua iliyofikiwa? Ni nani atamkumbusha Mchengerwa kuhusu ahadi yake kwa Umma kupitia Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa wakati wa Bajeti?
4. Kodi zetu mimi na wewe, zilizotumika kujenga barabara ya Kivukoni Mbagala na kukamilika mwaka sasa, je zinaleta matokeo yaliyokusudiwa ikiwa barabara haitumiki kwa kukosa mabasi?
5. Mabasi 177 yaliyoahidiwa toka Kampuni binafsi na hayo 100 aliyoahidi Mchechu yatakayoongezeka, yatakuwa ni asilimia ngapi ya mahitaji ya barabara zilizokamilika kwa kodi zetu mimi na wewe?
6. Je, Mfumo wa PPP unaondoa kabisa ushiriki wa Serikali au ni ushirikiano wa Serikali na sekta binafsi?
Tutafakari Pamoja!
Tatizo hapa ni uendeshaji hata kama tutanunua basi 700 bado yatakwisha kimiujiza tu
 
Tatizo hapa ni uendeshaji hata kama tutanunua basi 700 bado yatakwisha kimiujiza tu
Chief, hili linawezekana kabisa. Ila swali linabaki kuwa, Abood na Shabiby ni waendeshaji wazuri ndio maana wamedumu kwenye biashara hii huku wakikuza mitaji yao kwa faida wanazopata. Sasa, kama dawa ya tatizo la uendeshaji wanalo, inakuwaje hawawekezi kwenye sekta ya BRT? Ukijibu swali hili utaona tatizo ni zaidi ya uendeshaji.
 
David Kafulila CEO wa PPP-Cetre nchini na Nehemia Mchechu Msajili wa hazina nchini mnatuchanganya sana Watanzania,

Kafulila na Waziri Mchengerwa kwa nyakati tofauti tofauti walifafanua vizuri sana kwanini wanatamani mradi huu wa DART uendeshe kwa Ubia.

Kwahali ilivyo sasa Kila mmoja alikubaliana na Bw Kafulila pamoja na Waziri Mchengerwa kuwa ili kupata ufanisi unaotakiwa wa mradi huu lazima pawepo na Mbia kwani ni kama uendeshaji wa faida umetushinda Watanzania.

Kafulila alituhakikishia Mbia tayari ameshapatikana na kilichobaki ni kusaini mkataba ili mwekezaji ashushe zaidi ya Mabasi 177 ya kuanzia.

Watanzania tuliona ni bora zaidi kama mtu au kampuni itanunua Mabasi kwa Fedha zake na kuja kuyaendesha kwa Ubia na Serikali na Serikali kupata vipato ikiwemo Kodi hili lilikuwa ni jambo jema kwa Taifa.

Mbona ABOOD, Kataramba na wenzao ndivyo wanavyofanya kwani wanatoka huduma Kwa wananchi bila kuiingiza Serikali kwenye madeni ya kujitakia kama haya ya NMB.

Sasa Msajili wa hazina Bwana Nehemia Mchechu anataka kukopa tena $30M zaidi ya TZS 80 milioni tukumbuke hii hapa ni kabla ya riba ili kununua mabasi ambayo tumeambiwa tayari mwekezaji anakuja na mapya 177 ya kuanzia,

Kwa msiofahamu bei ya kila basi ni karibu $300,000 kwa maelezo ya Waziri Mchengerwa sasa kama Mabasi ni 100 lazima tukope sawa na jumla ya $30 milioni ambazo ni sawa na TZS 80 bilioni sijajua kuhusu riba kwa kuwa huu ni Mkopo wa kibiashara.

Sasa Kafulila alisema Mbia anunue aendeshe, leo Mchechu amesema serikali inunue iendeshe kitu ambacho imeshashindwa hapo kabla ndio ikawa sababu ya kutafutwa Mbia,

Leo sasa tena tena tunaambiwa ununuzi wa mabasi mapya tena kwa mkopo ila nchi ngumu sana hii.

Waziri wa Fedha hebu simamia hii na toa ufafanuzi kwani jambo hili linampiganisha sana Mhe Rais hasa katika wakati huu, ili ijulikane kama tunakopa kununua mabasi 100 basi hatuna haja ya Mbia wa mabasi 177 kama tunaleta Mbia hatuna haja ya kukopa NMB tena.

Pia soma <<Kafulila: Tunatekeleza agizo la Waziri Mchengerwa ndani ya muda mfupi ujao DART itasaini mkataba na Mbia nia ni kupunguza gharama Kwa wananchi>>>​
Ila Kafulila Kuna kitu anacho
 
Chief, hili linawezekana kabisa. Ila swali linabaki kuwa, Abood na Shabiby ni waendeshaji wazuri ndio maana wamedumu kwenye biashara hii huku wakikuza mitaji yao kwa faida wanazopata. Sasa, kama dawa ya tatizo la uendeshaji wanalo, inakuwaje hawawekezi kwenye sekta ya BRT? Ukijibu swali hili utaona tatizo ni zaidi ya uendeshaji.
Chief, hili linawezekana kabisa. Ila swali linabaki kuwa, Abood na Shabiby ni waendeshaji wazuri ndio maana wamedumu kwenye biashara hii huku wakikuza mitaji yao kwa faida wanazopata. Sasa, kama dawa ya tatizo la uendeshaji wanalo, inakuwaje hawawekezi kwenye sekta ya BRT? Ukijibu swali hili utaona tatizo ni zaidi ya uendeshaji.
Mtaji ndio Tatizo hata Mimi ningeweza
 
David Kafulila CEO wa PPP-Cetre nchini na Nehemia Mchechu Msajili wa hazina nchini mnatuchanganya sana Watanzania,

Kafulila na Waziri Mchengerwa kwa nyakati tofauti tofauti walifafanua vizuri sana kwanini wanatamani mradi huu wa DART uendeshe kwa Ubia.

Kwahali ilivyo sasa Kila mmoja alikubaliana na Bw Kafulila pamoja na Waziri Mchengerwa kuwa ili kupata ufanisi unaotakiwa wa mradi huu lazima pawepo na Mbia kwani ni kama uendeshaji wa faida umetushinda Watanzania.

Kafulila alituhakikishia Mbia tayari ameshapatikana na kilichobaki ni kusaini mkataba ili mwekezaji ashushe zaidi ya Mabasi 177 ya kuanzia.

Watanzania tuliona ni bora zaidi kama mtu au kampuni itanunua Mabasi kwa Fedha zake na kuja kuyaendesha kwa Ubia na Serikali na Serikali kupata vipato ikiwemo Kodi hili lilikuwa ni jambo jema kwa Taifa.

Mbona ABOOD, Kataramba na wenzao ndivyo wanavyofanya kwani wanatoka huduma Kwa wananchi bila kuiingiza Serikali kwenye madeni ya kujitakia kama haya ya NMB.

Sasa Msajili wa hazina Bwana Nehemia Mchechu anataka kukopa tena $30M zaidi ya TZS 80 milioni tukumbuke hii hapa ni kabla ya riba ili kununua mabasi ambayo tumeambiwa tayari mwekezaji anakuja na mapya 177 ya kuanzia,

Kwa msiofahamu bei ya kila basi ni karibu $300,000 kwa maelezo ya Waziri Mchengerwa sasa kama Mabasi ni 100 lazima tukope sawa na jumla ya $30 milioni ambazo ni sawa na TZS 80 bilioni sijajua kuhusu riba kwa kuwa huu ni Mkopo wa kibiashara.

Sasa Kafulila alisema Mbia anunue aendeshe, leo Mchechu amesema serikali inunue iendeshe kitu ambacho imeshashindwa hapo kabla ndio ikawa sababu ya kutafutwa Mbia,

Leo sasa tena tena tunaambiwa ununuzi wa mabasi mapya tena kwa mkopo ila nchi ngumu sana hii.

Waziri wa Fedha hebu simamia hii na toa ufafanuzi kwani jambo hili linampiganisha sana Mhe Rais hasa katika wakati huu, ili ijulikane kama tunakopa kununua mabasi 100 basi hatuna haja ya Mbia wa mabasi 177 kama tunaleta Mbia hatuna haja ya kukopa NMB tena.

Pia soma <<Kafulila: Tunatekeleza agizo la Waziri Mchengerwa ndani ya muda mfupi ujao DART itasaini mkataba na Mbia nia ni kupunguza gharama Kwa wananchi>>>​

Ukishangaa ya Musa...na kesho unasikia jamani lipeni kodi. Halafu miradi ya walipa kodi inachezewa, inahujumiwa na kuharibiwa na hakuna ruksa kuuliza nani aliyeharibu na amefanywa nini!!
Badala yake tunakopa tena na tunapeana na watu wale wale walioharibu ili waendelee kuharibu. Bora kukosa mali kuliko kukosa akili
 
Back
Top Bottom