Pre GE2025 DSM Kada wa CHADEMA Hilda Newton: Polisi wamezuia mkutano wetu Kariakoo, wamesema ni maelekezo kutoka juu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, kada wa CHADEMA, Hilda Newton amesema kuwa Jeshi La Polisi wamezuia mkutano wa CHADEMA uliopangwa kufanyika kwenye soko la Kariakoo.

Kwa mujibu wa Hilda, sababu iliyotajwa ni kwamba kuna maelekezo kutoka juu ya kuzuia mkutano na ameongeza kuwa msimamo wa chama ni kwamba mkutano huo utafnyika.

photo_2025-04-22_14-10-05.jpg
 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, kada wa CHADEMA, Hilda Newton amesema kuwa Jeshi La Polisi wamezuia mkutano wa CHADEMA uliopangwa kufanyika kwenye soko la Kariakoo.

Kwa mujibu wa Hilda, sababu iliyotajwa ni kwamba kuna maelekezo kutoka juu ya kuzuia mkutano na ameongeza kuwa msimamo wa chama ni kwamba mkutano huo utafnyika.

Samia ni muoga kuliko kunguru
 
Back
Top Bottom